Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Waungwana katika JF
Kila siku kila sehemu katika lalamiko kubwa tunazozisikia ni biashara ya utumwa
lawama kem kem zinamuangukia Bwa Mohammed Murjib au kwa umaarufu wake Tip Tip kama ndie aliendesha biashara ya utumwa huko tanganyika.
Biashara maana yake ni kununuwa na kuuza.
Lawama zote zinamuangukia Tip Tip kwa kununuwa watumwa lakini sijawahi kusikia hata mtanganyika mmoja akiwalaumu MACHIFU wa kabila zao kwa kuwauza raia au watu wao kwa TIP TIP na WaZUNGU.
naomba pasiletwe hoja kwamba tip tip alikwenda na bunduki na akawazunguka watanganyika elfu na kuwachukuwa akawatia michororo ya miguu na mikono na kuwawekea magogo mabegani na kuwapelekwa znz kuwauza.....hii haiwezi ku add up kwasabau na wao walikuwa nayo mikuki na mishale siku hizo
Lazima itakuwa kulikuwa na ushirikiano baina ya tip tip na machifu, mashirikiano ya kibiashara
Nguruvi3 na washabiki wenzako sisemi hivi kuthibitisha kwamba ninafurahiya biashara hiyo, no. mimi ninaulaani kwa level ya juu kabisa
lakini nakusudia kusema kwanini sisi katika generation hii, watu tulisoma na kutembea lakini wenye matatizo mengi kiasai ambacho tukimbebesha tembo anaweza kuanguka........tuwache kushuhulishwa na matatizo yetu na tukerwe na matukio ya 1800s
Ahsanteni
Kila siku kila sehemu katika lalamiko kubwa tunazozisikia ni biashara ya utumwa
lawama kem kem zinamuangukia Bwa Mohammed Murjib au kwa umaarufu wake Tip Tip kama ndie aliendesha biashara ya utumwa huko tanganyika.
Biashara maana yake ni kununuwa na kuuza.
Lawama zote zinamuangukia Tip Tip kwa kununuwa watumwa lakini sijawahi kusikia hata mtanganyika mmoja akiwalaumu MACHIFU wa kabila zao kwa kuwauza raia au watu wao kwa TIP TIP na WaZUNGU.
naomba pasiletwe hoja kwamba tip tip alikwenda na bunduki na akawazunguka watanganyika elfu na kuwachukuwa akawatia michororo ya miguu na mikono na kuwawekea magogo mabegani na kuwapelekwa znz kuwauza.....hii haiwezi ku add up kwasabau na wao walikuwa nayo mikuki na mishale siku hizo
Lazima itakuwa kulikuwa na ushirikiano baina ya tip tip na machifu, mashirikiano ya kibiashara
Nguruvi3 na washabiki wenzako sisemi hivi kuthibitisha kwamba ninafurahiya biashara hiyo, no. mimi ninaulaani kwa level ya juu kabisa
lakini nakusudia kusema kwanini sisi katika generation hii, watu tulisoma na kutembea lakini wenye matatizo mengi kiasai ambacho tukimbebesha tembo anaweza kuanguka........tuwache kushuhulishwa na matatizo yetu na tukerwe na matukio ya 1800s
Ahsanteni