mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Nnje ya mziki biashara ya matangazo kwa makampuni makubwa imekuwa inalipa wasanii wengi na hivi majuzi Diamond amevuta mkwanja wa Billioni 1 kukitangaza kinywaji cha ufaransa cha Bllaire
Lakini king kiba hapati offer za matangazo makubwa kwa nini?
Hana mvuto au hana management nzuri inayomuunganisha na makampuni?
Na kama hataki pesa ndogo kutoka kwa makampuni kwa nini bado anapiga show za bei raisi za fiesta na zile za vichochoroni za club za ulaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini king kiba hapati offer za matangazo makubwa kwa nini?
Hana mvuto au hana management nzuri inayomuunganisha na makampuni?
Na kama hataki pesa ndogo kutoka kwa makampuni kwa nini bado anapiga show za bei raisi za fiesta na zile za vichochoroni za club za ulaya?
Sent using Jamii Forums mobile app