Kwanini Ali Kiba hapati offer za matangazo ya makampuni makubwa kama Diamond Platnumz?

Wakati yeye ni shareholder kuna kidume kinamiliki lebo ya music, hakishei na mtu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wachafu ni record label au home recording studio?....

jiongezeni katika kuyajua haya...marehemu 2pac au hata big Poppa walikuwa na recording studio zao za nyumbani ila hawakuwa na record label bali walikuwa wamesigniwa na record label kubwa kama deathrow na badboys.

revord label ni kampuni ya kusimamia mauzo na kazi za wasanii mbali mbali...sasa wachafu na laizerrr wale ni wazalishaji...niambieni lini wachafu imesimamia show za diamond marekani au hata nigeria...eleweni vitu na sio kubwajabwaja hapa...WACHAFU RECORDSSS....EYOOOO FAIZAAAAAAA
 
Watu wanaushabiki wa wivu wa mafanikio ya mond maana juz juz tyuu wamemponda mond na kusema hamuwez kiba lakin tukiangalia anaevuta mkwanja mzur kwenye game ni mond kiba yuko nyuma ya mond kila kitu
 
Naona mziki unaeashinda unaenda kwenye endosment. Mwaka Jana kama unakumbuka Alikiba akiwa SA alitia saini mikataba mikubwa saba(7 major endosmemnt) Ebu jaribu Ku search unaweza kuondoa ujinga wako

great thinker
What were those 7 major endorsements...jus tell us.
 
kila siku mnakesha na kusema Kiba hamuwezi Mondi ila kila atachifanya mondi mnalinganisha na kiba jamani mna matatizo gani? si mumlinganishe mondi wenu na wanaoweza wenzake mbna mnaweweseka na kiba?...kuanzia boss wenu mondi had mashabiki wote mnaweweseka na kidume afu chenyewe kipo kimya tu puumbav
 
ooh hana hela, ooh hana nyumba, hana ofisi, ana kiburi, mchoyo, hajui kuimba, kiuno kigumu hajui kucheza, video zake mbaya...kwa muelewa yyte ataelewa kwamba mnafatilia sana habari za king kiba na ndo maana kila siku hamkos cha kuongea juu yake..that's show how much u luv guys mnampenda au mnamhofia king..na sisi tunawachora tuu
 




endeleeni kupiga kelele jamaa anatusua tu afu kimya kimya sawa...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Povu zitooooo. ukisikia yalaaa ujue kimenuka......nyie ndo mnaweweseka na domo ndo maana page zenu za insta zimejaa picha za domo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…