Kwanini Ali Kiba hapati offer za matangazo ya makampuni makubwa kama Diamond Platnumz?

Tan
 
Hana ushawishi wake binafsi. Kuna genge la watu wachache wanatumia media zao kumkweza. Wenye matangazo hupitia factor zote.

Kwa ufupi hana fun base kubwa.
 
mbona anapiga matangazo sana tuu,kama ni muangaliaji mzuri wa TV jaribu kuangalia clouds anaonekana sana kwenye matangazo ya fiesta,kuna moja wameenda kweny shule flan ya wasichana Arusha.
Yayayayayayayayayaaaaqh
 
mbona anapiga matangazo sana tuu,kama ni muangaliaji mzuri wa TV jaribu kuangalia clouds anaonekana sana kwenye matangazo ya fiesta,kuna moja wameenda kweny shule flan ya wasichana Arusha.

hahahaha we jamaa wewe dah
 
mbona anapiga matangazo sana tuu,kama ni muangaliaji mzuri wa TV jaribu kuangalia clouds anaonekana sana kwenye matangazo ya fiesta,kuna moja wameenda kweny shule flan ya wasichana Arusha.
hahahahaha we jamaa wee dah! hahahahahaa ila asante nimepunguza stress
 
Mbona wapo sawa tu wote wamezalisha kila mtoto na mama yake wote hawajaoa wote wame meza ndom wote international artists tofauti yao mmoja ni ambassador wa manhood yake, Sketi isimpite
 
Naona mziki unaeashinda unaenda kwenye endosment. Mwaka Jana kama unakumbuka Alikiba akiwa SA alitia saini mikataba mikubwa saba(7 major endosmemnt) Ebu jaribu Ku search unaweza kuondoa ujinga wako

great thinker
afu akarudi kuishi kwa maza
 
mpaka mpende show off mwaka huu
 
king of no show off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…