Kwanini Ali Kiba hatoi ngoma?

Kwanini Ali Kiba hatoi ngoma?

Domo anampiga sana bao.

Yaani diamond ukimpa ubalozi hujutii aisee. Yaani kapata deal la pepsi kila umuonapo kashika pepsi nahisi hata wao pepsi wanaenjoy sana.

Yaani unajikuta tu hata ww shabiki unahamasika kununua pepsi.[emoji3]
 
Ukisikia mtu anajiharibia basi kiba ni moja wapo, samaki akivuliwa huwa anakunjwa mapema wakati bado mbichi.

Sijui ni kwamba kawa kimya kwasababu amempoteza master mind Ruge, au ni kwavile kakimbiwa na mke wake aliechukia mrundikano wa ndugu nyumba wanayoishi, au anataka kurudia kupiga mbizi kama 2010 na akaibuka upya 2015.
Tulisha kaa kikao mabaharia wa jf tukakubaliana hakuna na narudia tena hakuna kuanzisha thread za kiba100 maana ni kumpa kiki lile lizee miaka 45+ tulipeleke wapi au liimbe nini.Hapa namaanisha nikufungua thread za DIAMOND PLATINUMZ TU,the one and only king of Tanzania, east African, Africa and world,so be carefully with your heart ebooooooooooooooooooooooooh.
 
Mi naona Alikiba kaamua kufuata nyendo za Michael Jackson, ambaye tangu 2009 hajatoa ngoma yoyote ile lakini bado ni superstar na anasumbua duniani.
Ahaaaaaaaaaaah unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe pia,tangu lini mchezaji wa ndondo cup akawa superstar, OK by the way maybe ni superstar wakuzalisha wanawake na kila mtoto kuwa na mama yake OK,so be carefully with your heart go and sleep eboooooooooooh....!!!!!!
 
Ahaaaaaaaaaaah daaaaaaah yani unafananisha mbingu(diamond) na ardhi(kiba100),maana huyo ajuza wako(kiba100) hamkuti kwa lolote na kwa chochote the king himself diamond platinumz,ko nasema na narudia tena nasema usije ukaandika Uzi ambao unamuhusu kiba100,maana sheria za humu jf zinataka nyuzi za diamond king himself tu maana ndo msanii Tanzania, wengine ni wababishaji.note,nafasi ya kiba100 anayo Rayvanny mzee wa mituzo na sio huyo mmachinga wako,na pia huyo jasiri wako muongoza umbea(kawazalisha dada zetu na kuwakimbia) na pia kutunyonyea wasanii wetu atoke tunamtaka diamond tu sawa.
 
Wakuu, mkiwa mnaandika threads ebu jitahidini kuweka heading zisizo leta taharuki aiseee
 
Ahaaaaaaaaaaah daaaaaaah yani unafananisha mbingu(diamond) na ardhi(kiba100),maana huyo ajuza wako(kiba100) hamkuti kwa lolote na kwa chochote the king himself diamond platinumz,ko nasema na narudia tena nasema usije ukaandika Uzi ambao unamuhusu kiba100,maana sheria za humu jf zinataka nyuzi za diamond king himself tu maana ndo msanii Tanzania, wengine ni wababishaji.note,nafasi ya kiba100 anayo Rayvanny mzee wa mituzo na sio huyo mmachinga wako,na pia huyo jasiri wako muongoza umbea(kawazalisha dada zetu na kuwakimbia) na pia kutunyonyea wasanii wetu atoke tunamtaka diamond tu sawa.
ulianza vizuri nikajua una akili kumbe unaongozwa na mihemko....huwez kumfananisha rayvanny na kondeboy kwa wakati huu tulionao km una akili timamu...vngnvy utakua sawa na muimba taarabu 2!
 
Yani alikiba hatoi nyimbo hajihangaishi na chochote wala lolote ila anavyowapa tabu side B sasa wakati hii ndio wangekua wanafurahia kua jamaa amekwama
 
Ali na nasibu wrote waswahili lakini alikiba uswahili wake ndio unammaliaza pamoja na marafiki zake alionao kina matunga anaoshinda nao bar ya kwetu pazuri tabata
 
Hivi unaanzaje kuandika gazeti reeeeeefu kwa mtu ambae hata hajui kama una exist??? Baadae wewe unaenda kulia ooh awamu ya tano haitupi ajira, huo muda uliokaa kumsimanga kijana anayejipatia tonge lake kwa kutumia kipaji chake na wewe si ungebeba nguo za mtumba ukawa unaitia pale k,koo....

Inasikitisha sana.
 
Nadhani sasa umefika mda watu wameshamwelew kiba100
 
Back
Top Bottom