Mumeshaunda tayari kamati zenu za Fitina na majungu ndani ya CCM wachawi nyie msiokuwa na hayaMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
Humtakii Mema MtakaMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
URAIS Nchi hii ni Rahisi sana kuna Siku tutasikia Baba levo Diamond Harmonize na Juma Lokole wamechukua FomuMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
unania ovuuuMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
Mmmmmmmh hapo atafifia kwa sababu binadamu sio poaMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
ndio nani huyo mtakaMkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.
Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana
Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
kumbe ni RCndio nani huyo mtaka
Tabu ya CCM uchaguzi ukikaribia tu huweko kamati nyingi za za Fitina na majungu ambazo.kazi zao huwa kuzushia wengine,kuwapaka matope nksasa sijui form yeye atapata wapi