REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Ni kwanini wasanii wakubwa kama Joh Makini, Nick ii, Lord Eyes, Ibrah da Hustler, G Nako, WCB, Dogo Janja n. k wote wanatokea Arusha na wanaimba mziki unaofanana.
Kwanini Arusha isiwe na waimba taarab au r n b wengi kama hip-hop ambayo ndio kama lifestyle yao????
Kwanini Arusha isiwe na waimba taarab au r n b wengi kama hip-hop ambayo ndio kama lifestyle yao????