Kwanini Arusha na kuna nini?

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kijana aliyetekwa katolewa oysterbay Dar es Salaam kapelekwa Arusha, swali ka kujiuliza Arusha kuna nini mpaka mtu atekwe kiharamia apelekwe huko?

Lakin jambo lingine la ajabu who is Sativa? Nina uhakika ukienda mtaani ukiuliza wananchi hakuna anayemjua hata mimi ndio nimemjua jana!

Kama usalama wa taifa unaweza poteza muda na gharama kwa mtu ambaye hata jamii haimjui na hana tishio lolote tunasafari ndefu sana, hizo gharama za kumtoa mtu mpaka Arusha na baadae mpaka Katavi.

====

Pia soma:
Sativa kutolewa Dar mpaka Arusha kisha kwenda kutupwa Katavi. Inawezekana aliyefanya utekaji huu ndiye aliyepanga shambulio la Lissu?
 
Kijana aliyetekwa katolewa oysterbay Dar es Salaam kapelekwa Arusha, swali ka kujiuliza Arusha kuna nini mpaka mtu atekwe kiharamia apelekwe huko?

Lakin jambo lingine la ajabu who is Sativa? Nina uhakika ukienda mtaani ukiuliza wananchi hakuna anayemjua hata mimi ndio nimemjua jana!

Kama usalama wa taifa unaweza poteza muda na gharama kwa mtu ambaye hata jamii haimjui na hana tishio lolote tunasafari ndefu sana, hizo gharama za kumtoa mtu mpaka Arusha na baadae mpaka Katavi.

====

Pia soma: Sativa kutolewa Dar mpaka Arusha kisha kwenda kutupwa Katavi. Inawezekana aliyefanya utekaji huu ndiye aliyepanga shambulio la Lissu?
Utamfahamu vipi wakati wewe unashinda Facebook babu!....
 
Kijana aliyetekwa katolewa oysterbay Dar es Salaam kapelekwa Arusha, swali ka kujiuliza Arusha kuna nini mpaka mtu atekwe kiharamia apelekwe huko?

Lakin jambo lingine la ajabu who is Sativa? Nina uhakika ukienda mtaani ukiuliza wananchi hakuna anayemjua hata mimi ndio nimemjua jana!

Kama usalama wa taifa unaweza poteza muda na gharama kwa mtu ambaye hata jamii haimjui na hana tishio lolote tunasafari ndefu sana, hizo gharama za kumtoa mtu mpaka Arusha na baadae mpaka Katavi.

====

Pia soma: Sativa kutolewa Dar mpaka Arusha kisha kwenda kutupwa Katavi. Inawezekana aliyefanya utekaji huu ndiye aliyepanga shambulio la Lissu?
Michongo michongo tu
 
Tunapinga utekaji, kutesa na kuua raia. Ila jamani na wakosoaji tuwe tunakosoa kwa hoja sio kwa lugha chafu.! Yule kijana anayatupa matusi sio mchezo, hata ukipitia page yake uko twitter ni aibu.

Tujifunze kuchukuliana, hata km mtu mmepishana basi mpingane kwa hoja.
Matusi yanaumiza tuache unafiki, ila isiwe ndio kigezo cha kujichukulia sheria mkononi
 
Tunapinga utekaji, kutesa na kuua raia. Ila jamani na wakosoaji tuwe tunakosoa kwa hoja sio kwa lugha chafu.! Yule kijana anayatupa matusi sio mchezo, hata ukipitia page yake uko twitter ni aibu.

Tujifunze kuchukuliana, hata km mtu mmepishana basi mpingane kwa hoja.
Matusi yanaumiza tuache unafiki, ila isiwe ndio kigezo cha kujichukulia sheria mkononi
Matusi ni kosa la Jinai kwanini wasimyake na kumsimamisha Kizimbani?!

Tena ukionyesha kuwa yeyote atakaetukana matusi ananyakwa Vijana wengi watafuata SHERIA.
 
Matusi ni kosa la Jinai kwanini wasimyake na kumsimamisha Kizimbani?!

Tena ukionyesha kuwa yeyote atakaetukana matusi ananyakwa Vijana wengi watafuata SHERIA.
Wengine hawana uvumilivu huo wa kupelekana kituo cha polisi, wanakuacha ujae wakupoteze huko police wanaona km wanapoteza muda.! Wao wanataka wakufunze wenyewe.

Ndiomana nasema tujifunze kuchukuliana na tuache lugha chafu, tubishane kwa hoja.
Sasa km huyo Sativa anatukana na huku anajiachia kitaa. Unategemea nini?!
 
Wengine hawana uvumilivu huo wa kupelekana kituo cha polisi, wanakuacha ujae wakupoteze huko police wanaona km wanapoteza muda.! Wao wanataka wakufunze wenyewe.
Sheria zisipofuatwa Nchi itakuwa ni Uwanja wa Fujo.

Ni hilo tu.
 
Sheria zisipofuatwa Nchi itakuwa ni Uwanja wa Fujo.

Ni hilo tu.
Na waliotunga sheria ndio wavunjaji sheria.

Tujifunze kuchukuliana au kukubaliana kwa kutokukubaliana.!
 
Back
Top Bottom