Kama umeoa basi una ndoa changa. Huna haja ya kuuliza hapa, kila mtu ana jibu lake. Acha muda ukupe jibu lako pia.HV hapa inakuwaje wakuu unaalikwa kwenye part unaenda pke ako au kimada wife Yuko home
Au wengine hata njiani tu utakuta wako safari moja lakini mwanaume anakaribia mtaa wa pili mwanamke ndio anaingia mtaa wa Kwanza
HV inakuwaje km unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B mim simo lkn
Nirudie nn Sasa?!Hatimaye nimekuwa wa kwanz kuchagia
Naomba urudie upyaa
Changia mada achana na kiswahili changuBilashaka uliambulia mswaki kwenye pepa ya kiswahili mtuangu
We mpenzi wako atakuwa EvaNgoja wenye wapenzi waje watueleze kwa undani... Mimi niko hapa nachukua tu samareee
MÊmENtO HoMO
kama ukioa wife material halafu anayekupa peace of mind ...kwa vyovyote vile anakuwa siyo wa show off kwa watu wengine....huyo ndiye mwanamke wa kuishi naye ndani na siyo kuongozana naye nje... ....ila michepuko ndiyo ya kuongozana nayo nje kwa show off manake haiwezi kufugika ndaniHV hapa inakuwaje wakuu unaalikwa kwenye part unaenda pke ako au kimada wife Yuko home
Au wengine hata njiani tu utakuta wako safari moja lakini mwanaume anakaribia mtaa wa pili mwanamke ndio anaingia mtaa wa Kwanza
HV inakuwaje km unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B mim simo lkn
Na hapo tunamkumbuka yule muhenga aliesema "kunguru hafugiki na hata ukimfuga hageuki njiwakama ukioa wife material halafu anayekupa peace of mind ...kwa vyovyote vile anakuwa siyo wa show off kwa watu wengine....huyo ndiye mwanamke wa kuishi naye ndani na siyo kuongozana naye nje... ....ila michepuko ndiyo ya kuongozana nayo nje kwa show off manake haiwezi kufugika ndani
Ukiona hivyo huyo mwanamke ni kimeo, Mwanaume anataka respect, kama hio hakuna hata Akiwa mzuri kiasi gani kwa Mume ni takataka na matokeo yake ndio hayoHV hapa inakuwaje wakuu unaalikwa kwenye part unaenda pke ako au kimada wife Yuko home
Au wengine hata njiani tu utakuta wako safari moja lakini mwanaume anakaribia mtaa wa pili mwanamke ndio anaingia mtaa wa Kwanza
HV inakuwaje km unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B mim simo lkn
Kiswahili kinatupa shidaKiswahili kibovu kabisa
Weka chako kizimaKiswahili kibovu kabisa
Mdogo angu ukishawaoa wanabadilika wanakua ka vibwengoHV hapa inakuwaje wakuu unaalikwa kwenye part unaenda pke ako au kimada wife Yuko home
Au wengine hata njiani tu utakuta wako safari moja lakini mwanaume anakaribia mtaa wa pili mwanamke ndio anaingia mtaa wa Kwanza
HV inakuwaje km unaona sio taipu yako usingemuoa basii khaa....
N.B mim simo lkn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mdogo angu ukishawaoa wanabadilika wanakua ka vibwengo