#COVID19 Kwanini Askofu Gwajima anaogopwa kiasi hiki na hii Serikali?

#COVID19 Kwanini Askofu Gwajima anaogopwa kiasi hiki na hii Serikali?

onjwayo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
1,356
Reaction score
1,309
Kufuatia mfululizo wa ibada zake na neno kuu "Corona", Askofu Gwajima amevutia idadi kubwa ya watu kumfuatilia kwenye mitandao huususan YouTube.

Mojawapo ya ujumbe wake ni kuishambulia Serikali especially viongozi wa juu na kulaumu Ni kwa Nini wameruhusu chanjo.

Amekwenda mbali na kusema walifake chanjo.

Tuhuma ya Gwajima ni nzito though yeye kwa matamshi anatumia neno hiari. Huku akiponda Sana walioruhusu chanjo.

Moja ya ibada alisema Kuna dalili watu walihongwa, nyingine akawa anawaponda viongozi hao na kusema hawana msimamo.

Kipindi Cha Magufuli walisema hawana Imani na chanjo na Sasa kipindi Cha Samia wanaikubali chanjo na kusema inasaidia, kitu ndani ya miezi 5 kauli 2 tofauti.

Gwajima watu Kama Hawa anasema hawafai kuongoza na Bora wajiuzulu.

Jana amekuja na lingine kuwa walifake kuchanjwa.

Serikali nao kiunyonge wanasema ikibainika mtu akafa kwa kufuata maneno ya Gwajima watachukua hatua.

Hii kauli kwangu Ni kuonyesha namna wanavyomuogopa Gwajima na kujishikiza kwa watu wengine tu walio wanyonge.

Serikali ionyeshe kuwa hili zoezi Ni la mkakati na kamwe wasiruhusu mtu kulichezea na kugomesha watu.

Hivi Nini maana ya ugaidi? Gwajima hapa na Mbowe Nani gaidi?

Ukichezea afya za watu na kulingana na serikali Nini maana yake? Iweje, Serikali iende kwenye makanisa kuwasaka watu wanaotekeleza majukumu Yao ya kikatiba kusbudu na kumuacha mtu moja akiichafua hiyo Serikali na kuwagomesha watu wasiitikie zoezi la kiserikali ya kuwapatia watu wake Kinga dhidi ya Covid 19?

Tunaoneana aibu au ndio ukiwa CCM kila Jambo ni shwari hata Kama unaenda kinyume?

Nataka nisikie kauli ya Waziri mkuu , makamu wa rais na rais mwenyewe kwenye hili.

Ugaidi siyo lazima uwaue viongozi hata kuingilia miundombinu ya afya pia Ni sehemu ya utekelezaji wake.

Zaidi naona Kuna haja ya katiba mpya.

Mungu ibariki Tanzania
 
Serikali imekalia kuonea wapinzani tu alafu wajinga kama gwajima wanapeta tu kisa ni maccm
 
onjwayo labda nikusaidie tu kukuambia ya kwamba kama kuna Mtu mwepesi na wala haogopwi kama udhaniavyo ni huyu Askofu Gwajima wako.

Tanzania imeshawahi kuwa na Watu tishio tena kutoka katika Taasisi zenye Makao yake Upanga na Oysterbay ila walitulizwa bila ya Wao kuamini na kushika Adabu zao.

Kinachofanyika sasa mpaka unaona Kimya na anaogopwa ni hitaji la Kimedani kwamba mpe Adui Uhuru aonyeshe Mabavu yake ili umsome vyema na uijue nguvu yake kusudi ukija Kummaliza humbakishi Yeye wala anaoshirikiana nao katika Ujeuri, Chokochoko na Kiburi.
 
Labda Ila anavuna wafuasi wengi na kuligawa taifa
 
Bado naendelea kuamini Gwajima ni spika tu kufikisha ujumbe kwa Bimkubwa.

Linalojamba ni tumbo, matakko ni spika!
 
Kama kila anayepinga misimamo ya siri-kali ya sisiemu ni gaidi, mbona na ww unawapinga kwa hili la Katiba mpya?
CCM hawajakataa katiba muda ndio haujafika...na siku wananchi wakitaka katiba itapatikana tu
 
Hakuna anayemuogopa gwajima yeye anatoa maoni yake na katiba inaruhusu
Lini kutoa maoni imekua kosa?
 
Gwajima Haogopwi ni Haki yake Kukataa Chanjo kwani Chanjo ni HIARI.

MBONA Kipindi cha Magufuli Hawa Hawa Wanaompinga Gwajima mbona Nao Waliungana na Magufuli kupinga CHANJO?Gwajima hakutaka kuwa Kugeugeu kama huyu Dr.Molel hebu Soma hapa Chini Aliyoyasema
20210816_214717.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Chanjo haijawagawa Watanzania kwa msingi wa itikadi zao za kisiasa kama inavyolazimishwa iaminike hivyo.

Gwajima ni mmoja kati ya wanaccm na wasiotaka chanjo wapo ccm wengi tu wanataka chanjo na watachanja akiwemo mwenyekiti wao.

Hvyo hvyo wapo chadema wanataka chanjo na watachanja.
wapo pia chadema wasiotaka hata kuzisikia hzo chanjo.

Kwahyo uktaka gwajima ashughulikiwe eti kwasab yeye ni mpnzan wa vaccine kutoka ccm je unawaongeleaje wale waligoma kuchanja wakitokea upande mwngne ksiasa
 
Kufuatia mfululizo wa ibada zake na neno kuu "Corona", Askofu Gwajima amevutia idadi kubwa ya watu kumfuatilia kwenye mitandao huususan YouTube.

Mojawapo ya ujumbe wake ni kuishambulia Serikali especially viongozi wa juu na kulaumu Ni kwa Nini wameruhusu chanjo.

Amekwenda mbali na kusema walifake chanjo.

Tuhuma ya Gwajima ni nzito though yeye kwa matamshi anatumia neno hiari. Huku akiponda Sana walioruhusu chanjo.

Moja ya ibada alisema Kuna dalili watu walihongwa, nyingine akawa anawaponda viongozi hao na kusema hawana msimamo.

Kipindi Cha Magufuli walisema hawana Imani na chanjo na Sasa kipindi Cha Samia wanaikubali chanjo na kusema inasaidia, kitu ndani ya miezi 5 kauli 2 tofauti.

Gwajima watu Kama Hawa anasema hawafai kuongoza na Bora wajiuzulu.

Jana amekuja na lingine kuwa walifake kuchanjwa.

Serikali nao kiunyonge wanasema ikibainika mtu akafa kwa kufuata maneno ya Gwajima watachukua hatua.

Hii kauli kwangu Ni kuonyesha namna wanavyomuogopa Gwajima na kujishikiza kwa watu wengine tu walio wanyonge.

Serikali ionyeshe kuwa hili zoezi Ni la mkakati na kamwe wasiruhusu mtu kulichezea na kugomesha watu.

Hivi Nini maana ya ugaidi? Gwajima hapa na Mbowe Nani gaidi?

Ukichezea afya za watu na kulingana na serikali Nini maana yake? Iweje, Serikali iende kwenye makanisa kuwasaka watu wanaotekeleza majukumu Yao ya kikatiba kusbudu na kumuacha mtu moja akiichafua hiyo Serikali na kuwagomesha watu wasiitikie zoezi la kiserikali ya kuwapatia watu wake Kinga dhidi ya Covid 19?

Tunaoneana aibu au ndio ukiwa CCM kila Jambo ni shwari hata Kama unaenda kinyume?

Nataka nisikie kauli ya Waziri mkuu , makamu wa rais na rais mwenyewe kwenye hili.

Ugaidi siyo lazima uwaue viongozi hata kuingilia miundombinu ya afya pia Ni sehemu ya utekelezaji wake.

Zaidi naona Kuna haja ya katiba mpya.

Mungu ibariki Tanzania
Binafsi sisi viongozi tunaungana na Gwajima maana Chanjo hii labda
 
Ulikuwa wapi Askofu wa KKT Dk. Shoo alipompinga JPM?

Uliikuwa wapi yule Askofu kule Kagera aliamua kufanya lockdown akafunga kanisa kisa Corona?

Uliikuwa wapi Kanisa Katoliki lilipotangaza wagonjwa wake na vifo vyake vya Corona? Wakati rais alikuwa hataki kutangaza visa?

Uliikuwa wapi wabunge wa CHADEMA walipofanya lockdown kinyume Cha utaratibu wa Serikali?

JPM pamoja na ubabe wake issue ya Corona alienda nayo kwa akili bila kutaka eti kuwakamata waliompinga.

Mdanganyeni tu rais aanze kamatakamata ya viongozi wa dini maana Gwajima anawakilisha kundi kubwa Sana la Makanisa na miskiti na wasio na dini.

Je mtawafunga wote? Je patients rights zinasemaje? Unaweza kumlazimisha mgonjwa matibabu bila idhini yake?
Hatuchanjwi.
 
Gwajima Haogopwi ni Haki yake Kukataa Chanjo kwani Chanjo ni HIARI.

MBONA Kipindi cha Magufuli Hawa Hawa Wanaompinga Gwajima mbona Nao Waliungana na Magufuli kupinga CHANJO?Gwajima hakutaka kuwa Kugeugeu kama huyu Dr.Molel hebu Soma hapa Chini Aliyoyasema View attachment 1895002

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hapa ndipo ninapo muelewa Rashid maarufu Gwajima..
 
Serikali haina papara wanaenda kwa step, wanam- time taratibu,akisharopoka yote analo la kujibu.
 
Back
Top Bottom