Prof asante kwa kuliona hili. Huyu jamaa yeye thread zake ni za mtindo huu. Juzi alim attack Kikeke wa BBC, leo huyu kijana. Nadhani na yeye ana vinasaba vya kike kike maana it seems anaona wivu wanzake wanafanikiwa kurembua yeye hawezi! Au ni mwanamke maana hizi ni tabia za kikeMaskini Tanzania yetu...watu wamegeuka wambea, wanaume kwa wanawake. Ngoma droo! btw, mwanaume unaanzaje ku-report umbea kama watoto wa kike? kazi mnafanya saa ngapi?I don't get it! Mleta thread kama siyo KE, basi Una vinasaba vya KE! ...Haiwezekani story zake zote ni za kipunga punga tu.