Kwanini Atheists wako mtandaoni tu ila mtaani hawaonekani kabisa?

Kwanini Atheists wako mtandaoni tu ila mtaani hawaonekani kabisa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?

Je Atheists wanaogopa kunyanyapaliwa kama mashoga hivyo kuamua kuishi maisha ya kifichi na usiri mkubwa?
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?
Wewe mtaani kwenu walokole na waamini lia lia wana alama gani usoni?
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?
Kwa sababu wanaona walichobuni hakiwasaidii.
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?
Hawajiamini na idia zao za kuokoteza
 
Huwezi mtu akawa anaongea mada zake za uchumi, mapenzi, etc ukaanza kusema hoo I'm an atheist cjui mungu hayupo...utakosa hata wa kuongea nae...hizi mada ni personal kama ilivyo mtaani humwambii kila mtu demu wako nani, unamla siku Gani saa Gani style Gani..ila si kila mtu mtaani anakula demu...ndo hivyo hivyo na atheism..
 
Mwanaume mzima baba la familia, unashona sare ya kitenge na mkeo halafu jumapili mnaongozana kwenda kanisani(are you stupid).

Dini.
Siasa.
Mpira.

Bora nijifungie chumbani nianze kuhesabu mavuzi, la kwanza mpaka la mwisho (nikikosea naanza upya)
 
mkuu social identification ni muhimu
Binafsi sio muumini wa dini yeyote ila mtaani naitwa sheikh ikitokea event church naenda ikitokea event msikitini naenda
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?

Je Atheists wanaogopa kunyanyapaliwa kama mashoga hivyo kuamua kuishi maisha ya kifichi na usiri mkubwa?
sasa utaona wapi? utamjua mkristo kwa kumwona anakwenda kansani, Mwislamu anakwenda mskitini sasa atheists utamjua kwa kumwona anakwenda wapi? Utamchukulia tu labda ni muumini wa dhehebu fulani kama walivyo wengine.
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?

Je Atheists wanaogopa kunyanyapaliwa kama mashoga hivyo kuamua kuishi maisha ya kifichi na usiri mkubwa?
ni wachache sana na ni vigumu mno kuwatambua. Mathalani kwenye baraza la mawaziri, Kenya nilimuona waziri moja ambae yeye hakuapa kwa Biblia wala Quran, bahati mbaya sikuskiliza alikua anatamka maneno gani kwenye kuapa 🐒
 
Huku mtandaoni kuna atheists na agnostics wengi sana ila mtaani katika harakati zangu zote na socialization sijawahi kukutana na atheist hata mmoja! Hii imekaaje?

Je Atheists wanaogopa kunyanyapaliwa kama mashoga hivyo kuamua kuishi maisha ya kifichi na usiri mkubwa?
Paragraph yako ya mwisho Ndiyo jibu sahihi.
 
Wanataka kuendrlea kupiga hela zenu. Mnataka msuse kununua kwenye duka lake. Marasta kwenu hawapo ?
 
Atheists wengi ni viongozi wa dini.... mtu mwenye hofu ya Mungu hawezi kufanya uchafu kama unaofanywa na viongozi wengi wa dini...

Ulawiti, ubakaji na upigaji wa fedha za waumini... kuna namna natamani undelete lakini naimani hutonielewa
 
Back
Top Bottom