Kwanini awamu hii Vifurushi vya Internet vimekuwa juu kuliko huko nyuma?

Kwanini awamu hii Vifurushi vya Internet vimekuwa juu kuliko huko nyuma?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Zamani ukijiunga dakika unakula na MB 500 au hata GB 1.

Offer nyingi zilikuwa zinaenda sanjari Dakika na Vifurushi ya Internet.

Sasa imekuwa tofauti kabisa. Eti Tsh. 1000 ukicheza kama hujui kuifukua menu ya Vifurushi unaweza kununua MB 100.

Nini kimetokea?
 
Kujisajili kwa kitambulisho cha utaifa imekua ni chanzo, wanajivunia kupata wateja wa kudumu
 
SahivI mtindo wa kusajili na kuhama mtandao sio wa hovyohovyo ukizingatia maswala ya NIDA kwahio mtu anaona kuliko ahangaike kuhama mtandao huu kwenda huu bora avumilie aendelee kunyonywa.
 
Sahiv mtindo wa kusajili na kuhama mtandao sio wa hovyohovyo ukizingatia maswala ya NIDA kwahio mtu anaona kuliko ahangaike kuhama mtandao huu kwenda huu bora avumilie aendelee kunyonywa
Sahiv mtindo wa kusajili na kuhama mtandao sio wa hovyohovyo ukizingatia maswala ya NIDA kwahio mtu anaona kuliko ahangaike kuhama mtandao huu kwenda huu bora avumilie aendelee kunyonywa
Sahiv mtindo wa kusajili na kuhama mtandao sio wa hovyohovyo ukizingatia maswala ya NIDA kwahio mtu anaona kuliko ahangaike kuhama mtandao huu kwenda huu bora avumilie aendelee kunyonywa
Lkn imesababisha tumekuwa na line nyingi. Mfano Halotel kwa ajili ya angalau Vifurushi internet bei nafuu. Na ile ya ziku zote miaka yote.

Tatizo linakuja kesho Halotel watapandisha bei alafu Tigo wanashusha itabidi utupe line Halotel ununue tena Tigo.

Zamani haikuwa hivyo. Hata kama zinatofautiana ila sio gap kubwa sana
 
Zitashuka baada ya uchaguzi

hawataki watu mpeane taarifa za uchaguzi
 
Lkn imesababisha tumekuwa na line nyingi. Mfano Halotel kwa ajili ya angalau Vifurushi internet bei nafuu. Na ile ya ziku zote miaka yote.

Tatizo linakuja kesho Halotel watapandisha bei alafu Tigo wanashusha itabidi utupe line Halotel ununue tena Tigo.

Zamani haikuwa hivyo. Hata kama zinatofautiana ila sio gap kubwa sana
Ni ngumu kwa kuwa company nyingi za mitandao ya mawasiliano zinakuwaga na makubaliano ya kibiashara.
 
Halotel Bado wana utaratibu huo ukinunua mfano kifurushi cha data gb 1 kwa buku unapewa unlimited messages na dk 10 kwenda Halotel.
 
Halotel Bado wana utaratibu huo ukinunua mfano kifurushi cha data gb 1 kwa buku unapewa unlimited messages na dk 10 kwenda Halotel.
Angalau kidogo hawa jamaa ila siamini kama watadumu na hii offer. Watu wengi wakihamia huko wataziondoa.
 
28th Oct..
Zamani ukijiunga dakika unakula na MB 500 au hata GB 1.

Offer nyingi zilikuwa zinaenda sanjari Dakika na Vifurushi ya internet.

Sasa imekuwa tofauti kabisa. Eti 1000Tsh ukicheza kama hujui kuifukua menu ya Vifurushi unaweza kununua MB 100.

Nini kimetokea?
 
Voda mpka sasa huwa sielewi mfumo wao, ukiwa mteja mzuri wa data basi wanakupunguzia mb kadri muda unavyoenda, hapa nina lain zao kama 3 nacheza na hiyo ya kwako tu, wakipunguza nahama line tu[emoji3]
 
Matumizi ya MB yameongezeka that why mimi binafsi ni bora nikose dakika lakini sio kukusa MB
 
Back
Top Bottom