The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Nimeshangaa sana, kumbe kuna mijitu kuswagwa kama Ng'ombe inafurahia.Machachari nini mkuu au kuwa chizi fresh kwenu ndo umachachari
Majinga ndo yalisababisha makonda na sabaya yapate machawa na mashabiki wengiNimeshangaa sana, kumbe kuna mijitu kuswagwa kama Ng'ombe inafurahia.
She was nothing ni bora ungesema Ummy Mwalimu alifanya vizuri sana kwenye Afya kuliko huyo wa mitambo ya shemeji yenuDkt. Gwajima.
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Mchengerwa.Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
"Mama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe..."Mama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe.
Wapuuzi kama Jafo wapo serikali hii lakini upuuzi wao uliishia kulekule kwa mpenda sifa wa Chato.
Nasemaje awamu ya sita mawaziri wote wamataga mayai tu hawafanyi kazi zao.Machachari nini mkuu au kuwa chizi fresh kwenu ndo umachachari
Hii awamu ndo imejaa wapuuzi zaidiMama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe.
Wapuuzi kama Jafo wapo serikali hii lakini upuuzi wao uliishia kulekule kwa mpenda sifa wa Chato.
Awamu ya sita ni Profesa Mbarawa.Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Awamu ya sita ni Profesa Mbarawa.
Kumbe mama hataki watu waletewa maendeleoMama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe.
Wapuuzi kama Jafo wapo serikali hii lakini upuuzi wao uliishia kulekule kwa mpenda sifa wa Chato.
Vijana wa UVCCM Wamelogwa awamu hii wanabadili tu misamiati.Kumbe mama hataki watu waletewa maendeleo
Nani kama mama.Vijana wa UVCCM Wamelogwa awamu hii wanabadili tu misamiati.
1. Mama anaupiga mwingi.
2.mama msikivu.
3.mama mtulivu.
4. Mama kaamua kukaa kimya.
5.mama hapendi.mabango
6..kazi iendelee
Kupayuka ndio kuleta maendeleo?Kumbe mama hataki watu waletewa maendeleo
Labda wamemsusia kiaina!!Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?