Mkia hufuata kichwaUmachachari unatokana na kiranja wao(namba moja)kama ni machachari na mawaziri lazima watapatikana machachari lakini kiranja wao akiwa amalala fofofo na wao watalala hivyohivyo
Sio kwamba hataki Ila anaogopa 2025 huyo waziri machachari asije akamzidi ushawishiMama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe.
Wapuuzi kama Jafo wapo serikali hii lakini upuuzi wao uliishia kulekule kwa mpenda sifa wa Chato.
Lowasa alikuwa mpayukaji we kweli ng'ombeKupayuka ndio kuleta maendeleo?
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Ha ha h aha a du hapo nimeelewa hawataki kuonyesha uzaifu wa boss wao siyoInao wengi, sema wazungu walishasema, "never outshine your boss".
Huyo alikurupuka na mwenzake kigwangala ndo maana walipigwa chini.Awamu ya tano umemsahau Luhaga Mpina alichoma nyavu za wavuvi na kupima hadi samaki wa rula
Yupo Musukuma na KibajajiKatika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Awamu ya sita aliwakemea muda sana kuwa hapendi wawe na maneno mengi. Bali waendelee kula kwa urefu wa kamab zao tu basiiiiKatika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Du kazi ipoAwamu ya sita aliwakemea muda sana kuwa hapendi wawe na maneno mengi. Bali waendelee kula kwa urefu wa kamab zao tu basiiii
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Safii Tu Babyato!!!Vipi January [emoji3]
Aliyeko juu yao ni zobaKatika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.
Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.
1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.
2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.
3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.
4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.
5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.
6. Awamu sita wote wana hololoja.
Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Safii Tu Babyato!!!
Huu ndio umachachari ?Awamu ya tano umemsahau Luhaga Mpina alichoma nyavu za wavuvi na kupima hadi samaki wa rula
KabisaHuu ndio umachachari ?
View attachment 2737048