Kwanini AY anakwenda kutambulisha wimbo mpya clouds fm sio wasafi?

Kwanini AY anakwenda kutambulisha wimbo mpya clouds fm sio wasafi?

Sasa unaenda vipi kutambulisha wimbo kwenye kituo ambacho ndo kwanza kipo kwenye majaribio na hata kurusha vipindi haijaanza?!
 
Kwa mfano wewe ndio ungekua AY... Ni mfano tu, Ungeenda Wasafi Au Clouds? Binafsi ningeenda clouds.. Sihitaji hata kufikiria it is so obvious.

Mambo mengine yako wazi mno jamani tuacheni hizi sijui team na hate!
Kalale unaumwa mkojo
 
Wasafi inasikia dar tu wakati clouds inasikika karibia Tanzania nzima,kutambulisha nyimbo wasafi haima tofauti na kuchukua ki carry na kupiga PA mitaa yote ya dar.
 
Kwani clouds media na wasafi kina tofauti?
Wakati mmiliki ni mmoja.
ACHENI KUTUCHEZEA AKILI NA MAMBO YENU.
 
Back
Top Bottom