Kwanini Azam tv mnatangaza kuonesha mechi za AFCON lakini hamuoneshi??

Kwanini Azam tv mnatangaza kuonesha mechi za AFCON lakini hamuoneshi??

Azam TV si king'amuzi cha watu smart.. Azam TV ni king'amuzi cha kundi la watu fulani ambao ndio wengi kuliko wale smart..
 
Azam TV si king'amuzi cha watu smart.. Azam TV ni king'amuzi cha kundi la watu fulani ambao ndio wengi kuliko wale smart..
Azam katarget soko lake sio lazima kila mmoja nchi hii atumie king'amuzi cha azam
Azam ni king'amuzi namba mbili nyuma ya startimes kuwa na active users wengi kwa umri wake katika soko ni wazi wanafanya vizuri sana ukilinganisha na ving'amuzi vingi vikongwe nchini

Mtu smart anajua anachokitaka hivyo huwezi nunua azam ukitegemea contents za dstv
 
Sidhani kama ni wapuuzi kiasi hicho waitangazie dunia kuwa wataonyesha hizi mechi wakati hawaonyeshi. Wengi huenda tunategemea wakitoa tangazo kama hilo basi mechi utaikuta Azam Sports channels. Je mnaolalamika mmejaribu kuangalia channel zingine mule kama ZBC 2 na regional channels nyingine kama za Uganda, Kenya nk? Hata startimes wanaonyesha mechi za Yanga na makolo michuano ya Afrika ila sio kwa channel za michezo za Startimes ila mechi unaikuta TV3 kwahiyo kama sio mfuatiliaji unaweza kuikosa mechi na kuoshia kuwalaumu watu waliokuzidi kila kitu kama kina Bakhresa.
 
Sidhani kama ni wapuuzi kiasi hicho waitangazie dunia kuwa wataonyesha hizi mechi wakati hawaonyeshi. Wengi huenda tunategemea wakitoa tangazo kama hilo basi mechi utaikuta Azam Sports channels. Je mnaolalamika mmejaribu kuangalia channel zingine mule kama ZBC 2 na regional channels nyingine kama za Uganda, Kenya nk? Hata startimes wanaonyesha mechi za Yanga na makolo michuano ya Afrika ila sio kwa channel za michezo za Startimes ila mechi unaikuta TV3 kwahiyo kama sio mfuatiliaji unaweza kuikosa mechi na kuoshia kuwalaumu watu waliokuzidi kila kitu kama kina Bakhresa.
matangazo wanayoweka wanaweka na channel itakayoonesha kila mechi. kwahiyo muda wa mechi ukifika hakuna mechi unataka tufanyeje boss!?

na sisi sio wajinga kiasi hicho boss.
 
Azam katarget soko lake sio lazima kila mmoja nchi hii atumie king'amuzi cha azam
Azam ni king'amuzi namba mbili nyuma ya startimes kuwa na active users wengi kwa umri wake katika soko ni wazi wanafanya vizuri sana ukilinganisha na ving'amuzi vingi vikongwe nchini

Mtu smart anajua anachokitaka hivyo huwezi nunua azam ukitegemea contents za dstv
To me: startimes king'amuzi cha ovyo kuliko azamu
 
Hatimaye bhana baada ya kuwasema sana naona leo wanaonesha mechi za kufuzu AFCON


Bad news: musonda wa utopolo once again ameingia hajagusa mpira hadi mpira umeisha kama ilivyokuwa kwa kaka yake yule mfugaji mayele.
IMG_20230326_174117.jpg
 
We jamaa kama hoja ni mechi ya epl hata azam anaonyesha tena kupitia UTV, startimes wanaonyesha kupitia NTA sport, Wala hawaonyeshi Europa league, hapa bapo umetufanganya
Inshort atleast Azam tv
Hao Startimes hawana EFL carabao cup, Ligi ya bongo n.k

Rejea nilivyoeleza awali kuwa Startimes wanaonesha EPL Jmosi na huwa ni mechi 1 tu, kweli umeshindwa kunielewa hoja nyepesi namna hiyo? Basi TZ tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya asali na maziwa.
 
We jamaa kama hoja ni mechi ya epl hata azam anaonyesha tena kupitia UTV, startimes wanaonyesha kupitia NTA sport, Wala hawaonyeshi Europa league, hapa bapo umetufanganya
Inshort atleast Azam tv
Hao Startimes hawana EFL carabao cup, Ligi ya bongo n.k

Rejea nilivyoeleza awali kuwa Startimes wanaonesha EPL Jmosi na huwa ni mechi 1 tu, kweli umeshindwa kunielewa hoja nyepesi namna hiyo? Basi TZ tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya asali na maziwa.
 
Back
Top Bottom