General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Kwanini baada ya kumaliza chuo, wale wenye couple mapenzi yao huisha muda mfupi baada ya chuo kuhitimu chuo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote ..ungesema baadhi.
I married my college sweetheart ...kamaliza mbele yangu one year..nikamaliza next year..
Tukaendelea kudate for years huku tukiendelea kujipanga ..then tukaoana
Sio wote ..ungesema baadhi.
I married my college sweetheart ...kamaliza mbele yangu one year..nikamaliza next year..
Tukaendelea kudate for years huku tukiendelea kujipanga ..then tukaoana
Wewe ulikuwa na msimamo haswa.Sio wote ..ungesema baadhi.
I married my college sweetheart ...kamaliza mbele yangu one year..nikamaliza next year..
Tukaendelea kudate for years huku tukiendelea kujipanga ..then tukaoana
Hili ndio most correct answer. Yani kama kijana hana connection ya kutusua mapema lazma demu atanyakuliwa tu na mwamba aliye na mamlaka kwa wakati huo. Na mademu wasivyo na huruma wala hatakuwaza pamoja na ahadi zote mlizokuwa mnapeana.Females hua wanakua desperate kuolewa wakat huo males ndo wanajipanga maisha na ikitokea ajira ikawa changamoto basi binti anamwona jamaa kama anampotezea muda so wengi huwaacha wanaume wao na ku move on na wenye maisha tayar.so hii ni moja ya sabab
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolHili ndio most correct answer. Yani kama kijana hana connection ya kutusua mapema lazma demu atanyakuliwa tu na mwamba aliye na mamlaka kwa wakati huo. Na mademu wasivyo na huruma wala hatakuwaza pamoja na ahadi zote mlizokuwa mnapeana.