Kwanini Baadhi ya Office za TRA zipo Johari Rotana?

Kwanini Baadhi ya Office za TRA zipo Johari Rotana?

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari
 
Hawajapanga mkuu, lile jengo floor za chini ni za serikali na floor za juu ni za Johari Rotana. Wana partner ship kwa umiliki wa jengo, kwa hiyo floor za chini ni mali ya serikali.

Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadha
 
Hawajapanga mkuu, lile jengo floor za chini ni za serikali na floor za juu ni za Johari Rotana. Wana partner ship kwa umiliki wa jengo, kwa hiyo floor za chini ni mali ya serikali.
Dah hii mpya kwangu yaani serikali kuwa na shares sawa na mtu binafsi,ajabu sana hii
 
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari
Zingatia maokoto... Hiki ni kipindi cha kujipigia tu kwa kila Mwenyezi nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari

Mbona umekomaa na TRA na hujaulizia uwepo wa Taasisi ya Mwl Nyerere kwenye jengo hilo hilo?
 
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari
Unajua Johari Rotana wamepanga kwa nani hayo majengo? Watanzania acheni upumbavu jifunzeni kutafuta maarifa.
 
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari
Taasisi ya Mwl Nyerere Foundation .....hata hao Johari wamepanga Nyerere Foundation ....didhani kama kosa ....
 
Wakuu Habari za weekend

Nimeshangaa na kushangaa tena, nilipoambiwa kuwa kuna office za tra pale hotel ya Johari Rotana tena wamechukua flow mbili

Swali langu ni kwanini wakapange kwenye jengo la hotel ya mtu binafsi na wasipange kwenye majengo ya taasisi zingine za serikali kama TPA?

Pale mjini kuna majengo mengi yako wazi tena majengo ya taasisi za serikali

Mwenye uelewa na hili tadhari
10%
 
Hawajapanga mkuu, lile jengo floor za chini ni za serikali na floor za juu ni za Johari Rotana. Wana partner ship kwa umiliki wa jengo, kwa hiyo floor za chini ni mali ya serikali.

Ah okay, so lile jengo ni la serikali, taasisi gani ni mmiliki.?
 
Taasisi ya Mwl Nyerere Foundation .....hata hao Johari wamepanga Nyerere Foundation ....didhani kama kosa ....
Tuendelee kidogo kudadavua mambo. Taasisi ya mwalimu Nyerere ni ya serikali au ni ya kikundi cha watu ili kutafutia maokoto?
 
Back
Top Bottom