TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Lile jengo ni la serikali lilijengwa na Museven kwa heshima ya mwl Nyerere, walikabidhiwa taasisi ya mwalimu nyerere foundation (MNF)chini ya comred mzee butiku ili kuisaidia kutunisha mapato ya taassi.
Kwahiyo hao rotana wamepanga jengo la MNF na kama TRA wamepanga basi mapato yanaenda MNF
Kwahiyo hao rotana wamepanga jengo la MNF na kama TRA wamepanga basi mapato yanaenda MNF