Kwanini baadhi ya taasisi na mashirika ya umma ajira zao hazipitii Sekretariet ya Utumishi?

Utumishi mimi nawaamini kwani jamaa zangu wengi sana wamepata ajira.Ila hizi ajira za Ngorongoro (NCCA) zilizotoka mwenyewe nina wasiwasi nazo ,najiuliza sijui niapplya au niuchune manake naweza nikachoma nauli yangu ,nikasimamisha shughuli zangu mwisho wa siku wakati nyie masubiria mpite mlango wa mbele kibarazani,kumbe kuna wenzenu wamesha ingizwa uwani zamani.
 
Wanafanyakazi kazi kwa kweli na wamepunguza urasimu kwa asilimia kubwa, tofauti na taasisi zikiachwa ziajiri zenyewe
But udanganyifu upo, nitaleta thread humu siku moja.
Mkuu mimi Ni shahidi kwa hili kama kuna udanganyifu Basi ujue umesukwa kweli kweli niliwahi hudhuria interview pale utumishi jamaa akazamia aseh jamaa walimfurusha ilibaki kidogo akabiziwe kwa ma pot kwa kweli wamezibiti sana yani sasa hivi sio rahisi kabisa labda wale wa kanzidata pia napo sio rahisi kiivyo, ila siwezi kukubishia yawezekana upo jikoni unajua kinachoendelea..

Mimi hapa kwenye nafasi za TPA kwakweli wamekuwa kimya sana alafu tunasubiri Aya majibu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi mambo yangu watoe tu hata kesho roho yangu iridhike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujataja baadhi ya VYUO VIKUU,utaitwa kwenye USAILI lakini hutaitwa KAZINI.Yaani wanatangaza nafasi kwa ajili ya kukidhi masharti na matakwa kisheria kumbe kuna WATU WAO wameshawapanga kupata ajira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hiyo mkuu ipo nitakuonesha siku nikileta uzi, halafu kinachofanyika pale zinaangaliwa taasisi zenye maslahi makubwa sio hizi ambazo ukiwekwa mshahara hautoboi mwisho wa mwezi.. na mipango yao sio ya kuzamia
 
Nikupongeze kwa kuliona hilo ni kweli kuna tatizo mahala na ukiangalia Taasisi ambazo hazipelek ajira utumishi ndo zinalipa vzur na kuna watoto wa wakubwa wengi sana na viongoz wa kisiasa wanatumia loop iyo kupitisha watu wao kama Wazir flan flan anavyoweka watu wake kwenye sekta flan....!!uzi wako huu ni wa muhimu na kufuatliwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hiyo mkuu ipo nitakuonesha siku nikileta uzi, halafu kinachofanyika pale zinaangaliwa taasisi zenye maslahi makubwa sio hizi ambazo ukiwekwa mshahara hautoboi mwisho wa mwezi.. na mipango yao sio ya kuzamia
Kwa iyo hii inawezekana kuwa sababu TPA wamechelewesha kutoa majina ya selected candidates?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hiyo mkuu ipo nitakuonesha siku nikileta uzi, halafu kinachofanyika pale zinaangaliwa taasisi zenye maslahi makubwa sio hizi ambazo ukiwekwa mshahara hautoboi mwisho wa mwezi.. na mipango yao sio ya kuzamia
Basi ngoja nione hii ya TPA ntatupia macho vizuri uzuri Nina majina ya walioitwa interview walionde oral pia hivo tutafanya upembuzi yakinifu apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale utumishi wanafanya kazi Sana kwa kweli lazma tuwapongeze japo Kuna kasoro

Shida inakuja kwenye taasisi zinazolipa mishahara mizuri zinapotangaza kazi nitaonesha kwenye thread kinachofanyika, lakini hizi taasisi zinazolipa 600k- 750k kwa bachelor utumishi hawana shida hapo watoto wa maskini wengi mtachukuliwa shida haya yanayolipa kuanzia 1.5m ndgu
 
Mungu ibariki Tanzania
Mungu tubariki sisi watoto wa wakulima

kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake (walimaanisha wahenga)
 
Mm najua ilishawahi kutangazwa nafasi za kazi NSSF watu wakaitwa usaili mwisho wa siku waziri mmoja akamnyanyulia waya meneja wa zone husika akawekwa jamaa yake bila hata usaili mpaka Leo yupo, na hii hata pale TANROAD tanga Kuna mtoto wa kigogo kachomekwa pale bila hata usaili japo ni marafiki zangu but is not fair
 
Hizi ni zama za kanda ya ziwa...wengine tusubiri baada ya 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo taasisi zote za maana hazipitii tume ya ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuota...kwenye tume uhuni upo kama kawaida......halafu hao TPA wanaangalia watu wa karibu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…