Kwanini baadhi ya taasisi na mashirika ya umma ajira zao hazipitii Sekretariet ya Utumishi?

Sijui hili mmeliona na moja ya legacy alioiacha Hayati Ruge ni kudepend on vyeti na gpa.

Psrp electronic system yao ikoje katika watu wanaojua kazi lakini vyeti so Sana nitie mfano labda kazi ya Customs halafu anaomba my wa clearing huyu atakuwa very competent kwenye kazi sababu Customs procedure code s zote anazijua lakini Hana bachelor labda.

Happy ndipo Tanzania wengi wanafeli unawatu wanna makaratasi makubwa na rangi nzuri lakini kazi hawajui wakingia kazini wanajifunza rushwa na upigaji tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani uko nje ya ulingo, Ruge alijiajiri yeye alipambana kuona kile alichokianzisha kinasimama. Ukija kwenye ajira rasmi Kuna taratibu zake na mojawapo lazma uwe na vyeti stahiki
 
Mchujo wa UTUMISHI sio masihala,kama mtu wa kubahatisha hupiti.Watu wa IT wanapiga interviews 3,written,practical ilyoshiba na Oral,sasa mtu apite chujio kama hilo alafu awe shallow mimi nakataa.Mimi mwanangu mmoja kapiga written fresh ,practical kakuta na mziki wa Linux ,kaishia kuandika namba yake ya mtihani nakuondoka.
 
We Kwanza omba masuala ya kuchoma nauli na kusimamisha shughuli zako utajua hapo baadaye baada ya kuwa shortlisted

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes wako vizuri hata mm nilipata ajira yangu ya kwanza kupitia wao
 
Suluhisho ni kizifanya taasisisi zote na mashirika yote na kazi zote ziwe na ujira mzur na unaolingana kwa level flan ya elimu. Haya mambo ktk hiz taasisi ynaweza kupungua. Unakuta jamaa mmesota wote dawat moja na kakupga sna chabo, ushamuonesha sna solving zako. Mnamaliza chuo Alafu wewe unaenda kufanya kaz halmashaur mwenzio anaend BOT. Baada ya mwez tu amekupga gepu mbaya sna kimaisha. Kisa tu mmeajiriwa taasisi tofauti wakt mnalingana elimu hadi chuo mlichosoma.
Hii kwangu me naiona haijakaa sawa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu ni sahihi lakini kwa mfumo wa tz haitakaa itokee kamwe.
 
Nakubaliana na wewe, TPA interview zilikwishafanyika tangu wiki ya kwanza ya January lakini hicho kigugumizi cha kutangaza walioshinda usaili huo sasa ni hatari - wanasubiri "MAELEKEZO" kutoka Bandari
 
Kwa tz hii ni heri ukose vyeti ila uwe na connection.nakumbuka tulienda oale maktaba house kwa ajili ya interview moja hivi OSHA. Kumbe mtu wao wanamjua na ikishapangwa kitambo.Watu tunasubiri majibu tulikuja sikia mtu alishaanza kazi kitambo na mpka leo hii utumishi hawakutangaza matokea ya ile interview.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi hapo kwenye IT nakubaliana nawew kabisa! Tulivyomaliza chuo tulienda interview moja tulikuwa na mwalimu wetu wa chuo nae aliitwa kwenye usahili yan ile interview ya kwanza tulipita japo kwa mbinde ila ilivokuja practical aisee ilikuwa balaa mwalimu alirud chuo kuendelea kufundisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kwa upande wa PSRP sidhani kama tatizo lao n kubwa sana.

Mimi naona chakuboresha ni namna ya kufanya Mtihani usivuje tu.



Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
PSRP ndo taasisi gani hiyo?
 
Imagine wanakwambia uwe na experience ya 8 or 13 years, hii si maana yake kuna mtu wamempanga tayari kabisa?😅😅
 

Maisha ya sasa ukiajiriwa bila kua na connection yoyote ni mtihani kwelikweli utasumbuka sana nadhani hii moja ya sababu ya vijana wengi hawana ajira


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli alinisimulia jamaa wa IT alienda kufanya usaili hapo Maktaba anasema interview nyingi halafu zile zenyewe kama kilaza hupiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…