Kwanini baadhi ya wana CCM wanaamini Watanzania wanotaka Katiba Mpya Sasa wanapaswa kukamatwa na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria?

ccm ni mijizi
 
Mbona kipindi cha muenda zake wote walika kimya kwanini wanataka kumuonea Mama, hata miaka miwili bado
Mwendazake alikuwa muuaji, na maisha hayana spare hivyo wakati mwingine watuwana kaa kimya na kumuomba Mungu amchukue.
Na ukiona Mungu kasikia sala hizo napema basi ujue zilikuwa sala sahihi.
 
Wewe no mburura Kama mburura wenzako kwani katiba ni ya Mbowe au ya wananchi kaa chini fikirisha ujinga wako.
 
Tunaogopa tutakuja kuondolewa madarakani kwa njia ya Kura.

Tukishaondolewa madarakani, vitega uchumi vyote vya Chama vitafanywa kuwa mali ya Umma na sisi tutapoteza kazi kwenye kusimamia shughuli/vitega uchumi vya Chama.
 
Ukiona mpo machimbo halafu jamaa anakataza usisogee ktk eneo lake juwa panautamu.Asante mi naondoka.
 
Baki na ubwege wako kama huna hoja bora unyamaze
 
Tanzania Ni MALI ya KILA mtu.

Kwanini Wanachama na MATEKA wa Mbowe wanaamini KILA wanachotaka wao na KUKIHITAJI wanaokipinga HAWAFAI na HIVYO hawataki KUPINGA MAWAZO YAO?
Wahi mirembe
 
Kama ukimsikiliza vizuri ile siku alyopokea ripoti ya TCD alisema ‘wasimletee asiyoyapenda’
 
Hayo ya 2025, imebidi awape moyo maana angesema ndani ya huu muula wake angejichimbia shimo ambalo hawezi toka... yote 9 ila lakumi ni kwamba ccm na katiba ni ardhi na mbingu haviwezi kukutana tatabaki kuskia miaka inatajwa ila hakuna kinachotendeka
 
Samia ni rais wa 6, ila anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli, rais akifa, awamu yake inakuwa imekatiziwa hapo na awamu mpya ya 6 inaanzia hapo Kwa kumalizia awamu ya 5.
P
Yaani mbona unajikanyaga mzee. Kwamba Samia ni Rais wa 6 ila anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli. Hapa maana yako tuko awamu ya 5 (tunamalizia). Halafu tena unakuja kusema Rais akifa, awamu yake inakatizwa hapo na tunaanza awamu nyingine, yaani awamu ya 5 ilikatizwa na ikaanzia hapo awamu ya 6.

Mzee tunyooshee tu, tujue tuko Awamu ya 5 au ya 6, vinginevyo kama uko kwenye dilemma, kaa kimya ili kazi iendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…