Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

mmmmhhhhhhh:hail::hail::hail::hail::hail: sikupenda kuchangia hapa lakini nina kawaida ya kuangalia kichwa cha habari watu wangapi wameisoma na kucomment,hii imesomwa na zaidi ya watu 10,000 (elf kumi). hapo ndipo unapoona akili za watz hamnazoooooooooooooo,ingawaje wengine wataniambia mbona na mimi nimesoma? ukweli sikusoma hii habari nimesoma headline tu nikaona niwastue mue mnajadili kwa wingi namna hiyo mambo ya maana kuhusu mustakbali wa nchi kuliko huu
 
Umesema mademu wengi hawavai chupi, halafu ukasema tena wanawake wengi uliowaona ndio wako hivyo, basi hata mama na dada zako ni mademu, usiharibu heshima za wanawake.
Kama hao mademu uliowaona hawavai chupi, hata mama yako na dada zako ni mademu wasiovaa chupi.
Pambaafff.
 

LMFAO hahahhaaha
 
Acha kumtukana mwenzio bhana,kama huwezi kuchangia acha.
 
Ulitaka tutamani wapi?wacha wasivae tuburudike mkuu
 
Kwani kuvaa chupi lazma kama nguo ya juu inakustiri,ni vzr uongelee mandhari y kutovaa chupi ili tukupate vzr !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…