Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

ni afadhali wasiovaa chupi kabisa kuliko wanaovaa chupi zaidi ya mara moja uvundo wake ni zaidi ya yai visa
 
Pichu za nini dar-es-salaam ni jiji la shughuli wengi kutoka mikoani wanavua na kutupa mto wami! Tih tih tih!
 
ni afadhali wasiovaa chupi kabisa kuliko wanaovaa chupi zaidi ya mara moja uvundo wake ni zaidi ya yai visa

nani huyo anarudia chupi shem mbona zinauzwa bei poa sana kha.
mi ikipauka tu natupa
 
Kama kweli wewe ni superman ungemuuliza muhusika kwa nini hakuvaa chupi ili upate majibu ya uhakika ya papo kwa papo. Humu hutapata majibu sanasana watu watakupa maoni yao tu.

Duuh! Hii post bado ipo? Long time sana!
 
Haa haaa unanikumbusha Mgombea moja miaka ya nyuma wakati wa mkutano wa hadhara alitoa handkerchief ajifute jasho, kumbe ametoa chupi ya nyumba ndogo aliyo confuse kuweka mfukoni akidhani ni leso au kwa sababu nyingine.

Acha masihara bana....duh.
 
Ni kutojiheshimu tu kwa dada anayejielewa hawezi fanya kitu kama hicho kuacha maungo yake nje nje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…