Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

Kwani faida ya kuvaa chupi kwa mwanamke ni nini,? wanaaume ndio wanatakiwa kuvaa chupi hapo kuna faida nyingi, 1.kumfanya mzee asiyumbeyumbe kiasi cha kutish na 2, kuzuia hasira zake pale anapo kutana na jinsia tofauti
 
Mmmmhh!!! Huyu jamaa noma umehesabu wangapi ukaja na hiyoo mada maana wangu anapenda kuvaa chupi kuliko tyt
 

Wewe umejuaje kama hawavai?
 
Juzi nikiwa kazini baada ya muda wa kazi kuisha tuliingia canteen ya palepale kazin
Kwa bahati nikawa mwanaume pekee pale ndani hivyo nikachukua chakula na kutoka nje
Nje nilizunguka bila wanawake wale tunaofanya nao kazi waliokuwa wakila pale ndani kujua na kukaa ukuta uliokuwa eneo ambalo ilikuwa rahisi kusikia maongezi yao

"Mmmmh! Mwenzenu hii chupi inanipa michirizi" akasema mmoja.

"Heee! Umevaa chupi sahizi?" Akauliza mwenzake

Ikumbukwe kuwa hiyo ni saa tisa baada ya kazi.

"Ndiyo kwani we huvai?"akauliza yule mdada.

"Mwenzangu me nikishatoka kazin sivai chupi iwe mtaani au popote!" Akajibu

"Hata mimi sivaagi!"

"Hata mimi kujibana kwanini?"

Yaani karibia wale wote waliokuwa pale walidakia kuwa hawavai chupi!

Mwenzao akabaki kushangaa!

Mimi ndo nilish angaa zaidi!

Hebu wanawake mliopo humu mnipe ukweli! Eti hamvai chupi?
 
YA NINI KWANI NI LAZIMA KUVAA MKUU LOLZ LABDA UWE MWEZINI NDO LAZIMA VINGIINEVYO HAKUNA DHAMBI YOYOTE KUVAA AMA KUTOKUVAA MKUU MI WEEKEND HUWA SIVAAGI KABISAAA
 
kama hawajawahi kuonesha tupu zao basi sawa, ila wasipovaa na kuweka nyuchi zao hadharni ndio mbaya.
 
Detective Columbo...
 
Kwa taarifa yako mleta mada hao wadada uliowasikia wakiongea ndio hao wapo humu kwahiyo usitegemee kusikia kitu tofauti
 
Wanapenda sana bajaji muwa wote wapo beach
 
Haa haaa unanikumbusha Mgombea moja miaka ya nyuma wakati wa mkutano wa hadhara alitoa handkerchief ajifute jasho, kumbe ametoa chupi ya nyumba ndogo aliyo confuse kuweka mfukoni akidhani ni leso au kwa sababu nyingine.
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…