MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Wivu tu unakusumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna mkuu 😂 nimeshangaa tu...Wivu tu unakusumbua
si bora anipe nyapu tu livelive 😂🤣🤣🤣🤣
Inawezekana ni mbinu ya kutaka akili yako iwe occupied na yeye.
ina maana hafikirii mbeleni labda wakiachana au mtu mwingine akija kushika hiyo simu??Mapenzi yanakuwa yamekolea
Mwingine akiona nae atapagawa kivyake ataanza kumtafuta kwahio inakuwa multiplier effectina maana hafikirii mbeleni labda wakiachana au mtu mwingine akija kushika hiyo simu??
Kweli?Hebu weka moja nione kama ni mbaya sana ili nimkemee.Inatisha sana.Leo nikiwa nipo kwa mshikaji tunapiga stori za hapa na pale, alinionyesha baadhi ya picha, video na rekodi za sauti anazotumiwa na mpenzi wake. Zinaonyesha utupu wake, akiwa anajishikashika pamoja na kutoa sauti za kimahaba.
Sikusita kumuonya kuhusu hili lakini alijitetea kwamba mpenzi wake yuko mbali kwa sasa, hivyo hii imekuwa ni njia ya kuendeleza mahusiano yao.
Hali hii imenifanya nijiulize, nini kinampelekea mwanamke kutuma picha za utupu kwa mpenzi wake kwa kukusudia, ni uaminifu, ndio fashion za siku hizi au ndio nini?
Naombeni mnielekeze kuhusu jambo hili.
Huyo mshikaji wako ni mpumbavu.Leo nikiwa nipo kwa mshikaji tunapiga stori za hapa na pale, alinionyesha baadhi ya picha, video na rekodi za sauti anazotumiwa na mpenzi wake. Zinaonyesha utupu wake, akiwa anajishikashika pamoja na kutoa sauti za kimahaba.
Sikusita kumuonya kuhusu hili lakini alijitetea kwamba mpenzi wake yuko mbali kwa sasa, hivyo hii imekuwa ni njia ya kuendeleza mahusiano yao.
Hali hii imenifanya nijiulize, nini kinampelekea mwanamke kutuma picha za utupu kwa mpenzi wake kwa kukusudia, ni uaminifu, ndio fashion za siku hizi au ndio nini?
Naombeni mnielekeze kuhusu jambo hili.
hicho kichwa chako 😂Mwingine akiona nae atapagawa kivyake ataanza kumtafuta kwahio inakuwa multiplier effect
utafutwa😂Uzi bila picha ndo nini Sasa.
Kikubwa sana au 😀hicho kichwa chako 😂
eti 'multiplier effect' 😂Kikubwa sana au 😀