Kwanini baadhi ya wanawake mnatuma picha za utupu kwa wapenzi wenu?

Kwanini baadhi ya wanawake mnatuma picha za utupu kwa wapenzi wenu?

Leo nikiwa nipo kwa mshikaji tunapiga stori za hapa na pale, alinionyesha baadhi ya picha, video na rekodi za sauti anazotumiwa na mpenzi wake. Zinaonyesha utupu wake, akiwa anajishikashika pamoja na kutoa sauti za kimahaba.

Sikusita kumuonya kuhusu hili lakini alijitetea kwamba mpenzi wake yuko mbali kwa sasa, hivyo hii imekuwa ni njia ya kuendeleza mahusiano yao.

Hali hii imenifanya nijiulize, nini kinampelekea mwanamke kutuma picha za utupu kwa mpenzi wake kwa kukusudia, ni uaminifu, ndio fashion za siku hizi au ndio nini?

Naombeni mnielekeze kuhusu jambo hili.
Kweli?Hebu weka moja nione kama ni mbaya sana ili nimkemee.Inatisha sana.
 
Leo nikiwa nipo kwa mshikaji tunapiga stori za hapa na pale, alinionyesha baadhi ya picha, video na rekodi za sauti anazotumiwa na mpenzi wake. Zinaonyesha utupu wake, akiwa anajishikashika pamoja na kutoa sauti za kimahaba.

Sikusita kumuonya kuhusu hili lakini alijitetea kwamba mpenzi wake yuko mbali kwa sasa, hivyo hii imekuwa ni njia ya kuendeleza mahusiano yao.

Hali hii imenifanya nijiulize, nini kinampelekea mwanamke kutuma picha za utupu kwa mpenzi wake kwa kukusudia, ni uaminifu, ndio fashion za siku hizi au ndio nini?

Naombeni mnielekeze kuhusu jambo hili.
Huyo mshikaji wako ni mpumbavu.
 
Wanatuma hizo picha ili ulainike kutuma na ya kutolea bila kujali tunavosotea hayo madolari
20230411_194829.jpg
 
Kuna dada mmoja ni ex wangu kanizidi umri alikua ananitumia nikimuomba ila me sijawahi mtumia[emoji1787][emoji23]

Nilimuomba siku ya kwanza akakataa nikamnunia basi tokea hapo akawa anatuma tu nikimwambia nitumie anatuma huku akisema angalia alafu ufute usisahau.

Me nilikua sifuti nazi save huku kwenye kwenye fake calculator. Kila nikitaka kuzifuta nasita sita ngoja nizifute leo
 
Back
Top Bottom