debbug
JF-Expert Member
- Jun 9, 2018
- 562
- 855
Lady and Gentleman habali za asubui .Natumain mu buheri wa afya bila kupoteza muda niende straight to the point lakin mtanisamehe Sana sababu ya huu uandishi wangu kwakweli hata mm napata tabu kuusoma sababu si uandishi mzuri.
Nilikuwa na mdogo wangu(just friend) niliekuwa naishi nae huku mkoan alikuwa fundi garage .lakin kutokan na kutafuta maisha akapata location moja ivi uko dar ya ufundi uo uo wa magari( garage) .Baada ya mda gari yangu aina ya passo ikapata matizo yaan nilikuwa nikienda umbali mrefu mfano wilaya up to mkoan inawasha taa ya oil .Mafundi wakanishauli ninunue oil pump mpya ili tubadili sasa kwa vile nilikuwa na uyo dogo uko dar nikamwambia aninunulie iyo oil pump nikamtumia Tsh 180000 ivi .Kwakweli yule dogo akaanza kunipiga chenga mala baadae,mala natuma kesho ,mala nimeenda kununua kumbe sio yenyewe mwisho akawa apokei simu wala ajibi sms zangu mwisho akatupa laini ya simu basi nikaamua kupotezea .
Wa pili ni jamaa yangu nimesoma nae tangu vidudu,chekechea,primary, secondary lakin A level tulisoma tofauti .lakin kwa sasa yeye ni msanii mkubwa tu apa bonge kwa upande wa kutegeneza bit na kuimba na kashawatengenezea wasanii kibao tu kama diamond, mavoco,rayvan,weusi ashaimba nao yaan kiufupi ni mkubwa tu kiusanii sasa uyu msanii kuna siku akanipigia simu akanambia oya vp naomba uniazime laki tatu(300000) kesho nakuludishia nikamwambia apa sina adi niende (November maik Bravo) yaan NMB tena ilikuwa usiku akanambia ninashida plz naomba nisaidie mwanangu kweli nikawasha gari yangu mpaka benki apo nikamuamishia iyo laki tatu kutoka kwenye account yang kwenda simu yake ya mkononi alafu ndio ilikuwa pesa ya emergency kama Tsh350000 nikijua huyu ni msanii mkubwa hawezi kosa laki tatu nikiitaka mda wowote .Jaman kumbe jamaa sio akaanza kupiga chenga nikimpigia simu anakata anaandika call you soon sasa apo mimi nilikua nina shida sana afu nilikuwa naumwa naitaji matunda ,nyama choma,majuic, maji kwa wingi afu sina pesa nipo geto tu nimelala namtegemea uyo msanii .kwakweli nilikoma akawa apokei simu na ajibu sms mpaka nikaamua kumpigia simu mama ili anisaidie ndio akanitumia Tsh 50000 lakin namshukuru mungu now nimepona ila uyo msanii ataki kunitumia pesa yangu sasa najiuliza kwanini? mtu ukimfanyia wema yeye anakujib kwa ubaya au kwann? mtu akifika dar anakuwa na roho mbaya ya kutokujali maisha ya mwenzake .
Naombeni ushauli jinsi yakuwakamata awa matapeli wangu kwakweli Tsh 480000 kwa usawa huu inauma San sijui nifanyeje ili wanilipe hii pesa yangu sababu inaniumiza San kichwa.
Ushauri
Enyi wanaume na wanawake wa dar maisha yakiwashida ludin tu uku mikoani usipende kuishi kiujanja ujanja haipendezi mbinguni na duniani .Yaan mmenifanya nimchukie kila mtu anaeishi dar naona kama wote wanaishi kiujanja ujanja tu .
Nawasilisha.
Nilikuwa na mdogo wangu(just friend) niliekuwa naishi nae huku mkoan alikuwa fundi garage .lakin kutokan na kutafuta maisha akapata location moja ivi uko dar ya ufundi uo uo wa magari( garage) .Baada ya mda gari yangu aina ya passo ikapata matizo yaan nilikuwa nikienda umbali mrefu mfano wilaya up to mkoan inawasha taa ya oil .Mafundi wakanishauli ninunue oil pump mpya ili tubadili sasa kwa vile nilikuwa na uyo dogo uko dar nikamwambia aninunulie iyo oil pump nikamtumia Tsh 180000 ivi .Kwakweli yule dogo akaanza kunipiga chenga mala baadae,mala natuma kesho ,mala nimeenda kununua kumbe sio yenyewe mwisho akawa apokei simu wala ajibi sms zangu mwisho akatupa laini ya simu basi nikaamua kupotezea .
Wa pili ni jamaa yangu nimesoma nae tangu vidudu,chekechea,primary, secondary lakin A level tulisoma tofauti .lakin kwa sasa yeye ni msanii mkubwa tu apa bonge kwa upande wa kutegeneza bit na kuimba na kashawatengenezea wasanii kibao tu kama diamond, mavoco,rayvan,weusi ashaimba nao yaan kiufupi ni mkubwa tu kiusanii sasa uyu msanii kuna siku akanipigia simu akanambia oya vp naomba uniazime laki tatu(300000) kesho nakuludishia nikamwambia apa sina adi niende (November maik Bravo) yaan NMB tena ilikuwa usiku akanambia ninashida plz naomba nisaidie mwanangu kweli nikawasha gari yangu mpaka benki apo nikamuamishia iyo laki tatu kutoka kwenye account yang kwenda simu yake ya mkononi alafu ndio ilikuwa pesa ya emergency kama Tsh350000 nikijua huyu ni msanii mkubwa hawezi kosa laki tatu nikiitaka mda wowote .Jaman kumbe jamaa sio akaanza kupiga chenga nikimpigia simu anakata anaandika call you soon sasa apo mimi nilikua nina shida sana afu nilikuwa naumwa naitaji matunda ,nyama choma,majuic, maji kwa wingi afu sina pesa nipo geto tu nimelala namtegemea uyo msanii .kwakweli nilikoma akawa apokei simu na ajibu sms mpaka nikaamua kumpigia simu mama ili anisaidie ndio akanitumia Tsh 50000 lakin namshukuru mungu now nimepona ila uyo msanii ataki kunitumia pesa yangu sasa najiuliza kwanini? mtu ukimfanyia wema yeye anakujib kwa ubaya au kwann? mtu akifika dar anakuwa na roho mbaya ya kutokujali maisha ya mwenzake .
Naombeni ushauli jinsi yakuwakamata awa matapeli wangu kwakweli Tsh 480000 kwa usawa huu inauma San sijui nifanyeje ili wanilipe hii pesa yangu sababu inaniumiza San kichwa.
Ushauri
Enyi wanaume na wanawake wa dar maisha yakiwashida ludin tu uku mikoani usipende kuishi kiujanja ujanja haipendezi mbinguni na duniani .Yaan mmenifanya nimchukie kila mtu anaeishi dar naona kama wote wanaishi kiujanja ujanja tu .
Nawasilisha.