Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Kama swali linavyouliza hapo juu
Nashangaa mtu hanywi pombe Lakini anadiriki kuichukia na kumsema vibaya mnywaji
Hapa duniani kila mtu ana starehe yake ,kuna wapenda mademu,kuna wapenda bangi,kuna wapenda unga na kadhalika ili mradi tu upate ile kitu roho inapenda
Sasa kuna mijitu inaona wale wanaokunywa pombe ni waovu,hawafai katika jamaii, na kuwaona kama watu wasio na akili ya maisha
Wanaona ukinywa pombe basi utakua maskini hutopata maendeleo ,kumbe kila MTU na malengo yake na unywaji wake anajua nini anafanya
Watu tuache unafiki kuhukumiana,mwenye mamlaka ya kumuhukumu MTU mnywaji ni mungu pekee
Acha watu tunywe tuburudike,hiyo starehe unayoipata wewe pale unapokunywa soda basi ndo hiyo hiyo ninayoipata Mimi pale ninapokunywa Balimi zangu za bariiiidi kabisa
Tusipangiane Maisha na usihukumu kabla hujahukumiwa
Cheers[emoji481][emoji481][emoji481]
Nashangaa mtu hanywi pombe Lakini anadiriki kuichukia na kumsema vibaya mnywaji
Hapa duniani kila mtu ana starehe yake ,kuna wapenda mademu,kuna wapenda bangi,kuna wapenda unga na kadhalika ili mradi tu upate ile kitu roho inapenda
Sasa kuna mijitu inaona wale wanaokunywa pombe ni waovu,hawafai katika jamaii, na kuwaona kama watu wasio na akili ya maisha
Wanaona ukinywa pombe basi utakua maskini hutopata maendeleo ,kumbe kila MTU na malengo yake na unywaji wake anajua nini anafanya
Watu tuache unafiki kuhukumiana,mwenye mamlaka ya kumuhukumu MTU mnywaji ni mungu pekee
Acha watu tunywe tuburudike,hiyo starehe unayoipata wewe pale unapokunywa soda basi ndo hiyo hiyo ninayoipata Mimi pale ninapokunywa Balimi zangu za bariiiidi kabisa
Tusipangiane Maisha na usihukumu kabla hujahukumiwa
Cheers[emoji481][emoji481][emoji481]