Kwanini baadhi ya wazazi wa kikristo hawapendi watoto wao kuanza kunywa pombe ?

Wakkristo Asilimia kubwa ndo walevi wakubwa na wazinzi
 
Ushauri wangu Kama baba unapiga gambe mchukue kijana wako toka nae mzungumze piga Pombe kistaarabu

Haki huyo kijana ataheshimu na hata fiata mkumbo rika na kuwa mlevi mbwa,Ila ukimficha ataangamia sababu sio kila siku utakuwa nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…