Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 9,524 Reaction score 13,682 Mar 9, 2022 Thread starter #21 Dorome said: Yale ni madarasa ya kisiasa ila tz bado kuna upungufu mkubwa wa madarasa na madawati. Fedha za kovid zimejenga madarasa kwa baadhi ya shule za sec na msingi na sio shule zote. Bado upungufu upo tena mkubwa tu. Click to expand... Umetumia takwimu kutoka wapi? Mbona maneno ya watawala yanakinzana na ulichoandika?
Dorome said: Yale ni madarasa ya kisiasa ila tz bado kuna upungufu mkubwa wa madarasa na madawati. Fedha za kovid zimejenga madarasa kwa baadhi ya shule za sec na msingi na sio shule zote. Bado upungufu upo tena mkubwa tu. Click to expand... Umetumia takwimu kutoka wapi? Mbona maneno ya watawala yanakinzana na ulichoandika?
C Chakichaki Member Joined Sep 29, 2021 Posts 5 Reaction score 0 Mar 9, 2022 #22 Memento said: Hujajibu swali, kwa nini walimu wengi hamna akili? Click to expand... Hahahahahhahhah
Dorome JF-Expert Member Joined Nov 11, 2021 Posts 397 Reaction score 746 Mar 9, 2022 #23 Ileje said: Umetumia takwimu kutoka wapi? Mbona maneno ya watawala yanakinzana na ulichoandika? Click to expand... Endelea kuchangia ili tujenge taifa letu bado changa
Ileje said: Umetumia takwimu kutoka wapi? Mbona maneno ya watawala yanakinzana na ulichoandika? Click to expand... Endelea kuchangia ili tujenge taifa letu bado changa