TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
🤣😅😅😅Hapa tu una certificate ya MUST, Je ungekuwa unasoma PhD University of Calfonia si ungekuwa unatulamba vibao wana JF. God is real we Kilaza. Usijifanye msomi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😅😅😅Hapa tu una certificate ya MUST, Je ungekuwa unasoma PhD University of Calfonia si ungekuwa unatulamba vibao wana JF. God is real we Kilaza. Usijifanye msomi.
Nini kilikuwa kinafanyika hapo, na lengo hasa lilikuwa ni lipi?hakukufanyika Mnara mrefu kwa kiasi kinachotafsiriwa na watu wengine.
ulikuwa ni Mnara mrefu kiasi ila kilichokuwa kinafanyika hapo na dhumni lake ndiyo vili fanya Mungu avuruge kila kitu.
Huyu jamaa sijui alipataje D mbili.Mnara wa babel ni code ya kwenda mbiguni kumuona Mungu na sio kwenda juu daah wabongo ndo maana hata tusome vip hatugundui vitu ndo maana ma dr wote wamekimbilia ccm.....
Sawa mkuu, ila kuwa makini usizidishe ukashindwa kurudi homBhana eh nimechoka Wacha nimalizie chupa hii nikapumzike weekend imeshaisha hii.
Tatizo watu wanaisoma Bible kama riwaya.This is myopic and I will answer myopically. Ule mnara haukuwa na maana ya urefu wa kwenda juu Bali ilikuwa ni madhabahu ya malango ya kufikia mbingu ambayo Mungu anaishi.
So mfalme Nebkadneza kwa msaada wa wanefili alifuniliwa Siri mahali pa kuujenga huo mnara kama madhabahu na rituals za kufanya ili apate kuifikia mbingu ambayo waliamini Mungu anaishi.
Don't wory. Jumapili huwa nakunywa chupa mbili tu za Pepsi. Na hii ni ya mwishoSawa mkuu, ila kuwa makini usizidishe ukashindwa kurudi hom
Ngoja aje hapa kujibu...ana account humu!Habari mdau, fikiri kuhusu hili...
Mungu alikasirika walipo jenga mnara wa Babeli, kwa lengo la kufikia mbinguni.
View attachment 3048030
Jiulize, je kwa sasa hana tatizo na international space station?
View attachment 3048031
Kama Mungu alizuia jaribio la watu kufika mbinguni, inamaana kwa sasa hawezi kuzuia?
Perhaps, space is fake.....
Sawa mkuu, ila hizo zina gesi sana, mbili si tumbo litajaaDon't wory. Jumapili huwa nakunywa chupa mbili tu za Pepsi. Na hii ni ya mwisho
Hapa tu una certificate ya MUST, Je ungekuwa unasoma PhD University of Calfonia si ungekuwa unatulamba vibao wana JF.
Kama huyo God ni real, Aje hapa ajidhihirishe mwenyewe.God is real we Kilaza. Usijifanye msomi.
Malengo ya awali kwa kila upande/zama tajwa ni yepi?Mungu alizuia jaribio hilo hapo awali, je kwa sasa hawezi kuzuia au hao wanaodai kwenda huko juu hakuna mahali wanafika?
Halafu wakipewa ilimu wanabishanaTatizo watu wanaisoma Bible kama riwaya.
Hapa mkuu umetoa ufunuo wa kutosha.
Kwa akili ya kawida ujenge kitu kifike mbiguni daaah...... hizo D za chabooo mkuu nahisiHuyu jamaa sijui alipataje D mbili.
Je unafahamu kwamba yaliwahi kufanyika majaribio ya kutaka kutoboa au kupasua mbingu, na walio fanya ndyo haohao wadau wa space program?Malengo ya awali kwa kila upande/zama tajwa ni yepi?
-Mmoja alitaka kuchungulia sebuleni kwa Mungu akabagazwa.
-Mwingine kapewa akili ya kuyatawala mazingira yake na anazitumia bila bughudha.
Umeelewa tofauti yao?
Ungetoa na ushahidi wa hiyo taarifa yako jinsi walivyotaka kutoboa anga.Hivi anga ni kama ukuta hadi kuhitajike kupasua au kutoboa?Je unafahamu kwamba yaliwahi kufanyika majaribio ya kutaka kutoboa au kupasua mbingu, na walio fanya ndyo haohao wadau wa space program?
Anga ni mfano wa mfuniko wenye umbo la glass au ice, inafahamika kama “Dome" (firmament)Ungetoa na ushahidi wa hiyo taarifa yako jinsi walivyotaka kutoboa anga.Hivi anga ni kama ukuta hadi kuhitajike kupasua au kutoboa?
Vyema sana MkuuNice... Unafikiri vyema... Ngoja waje kujibu kwa matusi
Nani huyo aje kujibu?Ngoja aje hapa kujibu...ana account humu!
If you're okay with believing the creator of the universe(benevolent creator) would get pissed if his creations tried to meet him, with no malicious intent, then go for it man.But their aim was to reach the heavens and see what's going on there, but they fail
Baber(AKKADIAN).Nini kilikuwa kinafanyika hapo, na lengo hasa lilikuwa ni lipi?