Kwanini BAKWATA inashindwa kumpa miongozo sahihi kiongozi wa dini Sheikh Ponda?

Kwanini BAKWATA inashindwa kumpa miongozo sahihi kiongozi wa dini Sheikh Ponda?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
BAKWATA ndio chombo cha juu kabisa cha waislamu nchini Tanzania kikiongozwa na Mufti.

Hizi taasisi nyingine ni jumuiya tu lakini chombo kikuu chenye utambulisho wa kuwawakilisha waislamu kitaifa ni Bakwata.

Ndio maana hata kwenye Bunge la Katiba waislamu nchini Tanzania waliwakilishwa na BAKWATA.

Kwa kawaida BAKWATA huwa hawajiingizi sana kwenye maswala ya kisiasa sasa kwanini hawampi mwongozo sahihi Sheikh Ponda?

Hata kwenye siasa BAVICHA iko chini ya Chadema au UVCCM iko chini ya CCM na inapewa miongozo!

Maendeleo hayana vyama!
 
Huyu alijitoa na haitambui hiyo Bakwata. Ndio maana aliunda na kusajili kama ilivyo Bakwata, taasisi yake binafsi na haiingiliwi na Bakwata.
 
Ahaaaaaaa mnataka kutupangia tna Nani awe anatusemea Sawa Aina SHIDA. CCM OYEEE
 
Hii awamu kila kundi linaisoma namba yake, kwasabb jiwe amejitahifi Sana kutugawa. Viongozi wa bakwata wanafidi mezani pa jiwe, hivyo hawana kauli tena. Hao Shura ya maimamu wala hawana lao.
 
Back
Top Bottom