Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima kucomment kila kitu jifunze kukaa kimya kama hujui cha kujibu.Kama daraja lipo nini shida yako? Jadili mambo ya msingi
Si lazima kucomment kila kitu jifunze kukaa kimya kama hujui cha kujibu.
Yule mzee ata mlima Kilimanjaro kuna siku angesema uitwe KabudiHivi msingi wa kuitwa daraja la kijazi ilikuwa ni nn hasa? kuna vitu huwaga haniingii akilini kabisa
Mwendazake alitaka kumpa kumbukumbu best yakeHivi msingi wa kuitwa daraja la kijazi ilikuwa ni nn hasa? kuna vitu huwaga haniingii akilini kabisa
Hilo bango linawasaidia vipi watanzania? Acha ulimbukeniSi lazima kucomment kila kitu jifunze kukaa kimya kama hujui cha kujibu.
Si lilikuwa tambara lile mkuu, lilibebwa na upepo, watakuwa wanatengeneza lingineSalaam,
Naomba kufahamu Je! Jina la daraja la Ubungo almaarufu Kijazi Interchange limebadilishwa au mamlaka husika wanatengeneza bango bora zaidi?
Maana lile bango lililokua na jina halipo tena.
Kwa mfano hilo daraja lenyeweLa msingi kwa mfano?
yule mzee ata mlima Kilimanjaro kuna siku angesema uitwe Kabudi
Yaan ni shida kwakweli/ yaan kwenye miundombinu ya umma then watu wanajipa majina lolMwendazake alitaka kumpa kumbukumbu best yake
Kahamisha stendi ya Ubungo aka ipachika jina lake kijanja jana eti standi ya Magufuli wakati miaka na miaka ilikuwepo! Alikuwa ana nyemelea na soko la kariakoo lile la Dodoma aliona ni dogo ndio maana akasema liitwe sijui ndungai!hahahahahaha umenivunja mbavu hatari daaaaah
Liitwe Robert Mugabe Inter Change,Salaam,
Naomba kufahamu Je! Jina la daraja la Ubungo almaarufu Kijazi Interchange limebadilishwa au mamlaka husika wanatengeneza bango bora zaidi?
Maana lile bango lililokua na jina halipo tena.
Haa, Kwani tunategemea kwamba Kuna siku mlima Kilimanjaro hautakuwa na jina?yule mzee ata mlima Kilimanjaro kuna siku angesema uitwe Kabudi