MAKA Jr
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 267
- 209
Ni kwa nini duniani kote inajulikana kuwa Bara la Afrika ni sehemu ya kwenda kuiba au kuchukua vitu pasipo na wenyeji wake kuonyesha kujitetea?
Hii hali inazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyosonga. Tulifikiri uhuru utaondoa hili, lakini wapi.
Tulifikiri Elimu na teknolojia vitaondoa hili, lakini wapi.
Kila hatua ambayo Afrika inapitia ni hatua ya kuzidi kurusu UTAWALA MPYA WA BARA LA AFRIKA. Ni kwa nini na ni nini kifanyike ili kuondoa hili?
Hii hali inazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyosonga. Tulifikiri uhuru utaondoa hili, lakini wapi.
Tulifikiri Elimu na teknolojia vitaondoa hili, lakini wapi.
Kila hatua ambayo Afrika inapitia ni hatua ya kuzidi kurusu UTAWALA MPYA WA BARA LA AFRIKA. Ni kwa nini na ni nini kifanyike ili kuondoa hili?