Kwanini barua za kiofisi zinazotolewa public ziko kihuni, bila mhuri, bila sahihi?

Kwanini barua za kiofisi zinazotolewa public ziko kihuni, bila mhuri, bila sahihi?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Huu uhuni tumeanza lini ?

Barua ya Katibu Kiongozi inatoka haina mhuri haina signature ?

Unajua hata nzi ameamua kua mhuni tu ndio maana anasambaza kipindupindu lakiji angeamua kua na akili angetengeneza asali kama mwenzie nyuki. T

unaweza kuamua kua serious kidogo? Kidogo tu

Snapinst.app_475151809_18267940726258462_2047448942697263179_n_1080.jpg
 
Huu uhuni tumeanza lini ?

Barua ya Katibu Kiongozi inatoka haina mhuri haina signature ?

Unajua hata nzi ameamua kua mhuni tu ndio maana anasambaza kipindupindu lakiji angeamua kua na akili angetengeneza asali kama mwenzie nyuki. T

unaweza kuamua kua serious kidogo? Kidogo tu

View attachment 3215146
Hiyo bibi na bwana ni zaidi ya signature na muhuri. International standards
 
Back
Top Bottom