Huu uhuni tumeanza lini ?
Barua ya Katibu Kiongozi inatoka haina mhuri haina signature ?
Unajua hata nzi ameamua kua mhuni tu ndio maana anasambaza kipindupindu lakiji angeamua kua na akili angetengeneza asali kama mwenzie nyuki. T
unaweza kuamua kua serious kidogo? Kidogo tu
View attachment 3215146