Kumbe huyu ni kigagulaZile kanga,T shirts, capelo madera na gagulo za kijani na njano mlizokuwa mnatupiwa unafikiri zilikuwa zinachapishwa bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huyu ni kigagulaZile kanga,T shirts, capelo madera na gagulo za kijani na njano mlizokuwa mnatupiwa unafikiri zilikuwa zinachapishwa bure
huo ni ufinyu wa mawazo na kuishiwa point nyambafuBashe yupo kundi la mafisadi akipewa usaidizi na Spika Tulia chini ya uangalizi wa mama Abdul.
Bunge kwa sasa limetawaliwa na mafisadi wala nchi, kuanzia DPW mpaka sukari.
party caucusSukari ipo? Je, ni bei gani mtaani?
PIA SOMA
- LIVE - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina
Duka gani hilo Songea....tukimbilie maana huku kwetu Litapwasi haiuzwi 2,500/=Iringa,Njombe, Mbeya, Songea 2500/= kwa sasa
Mnapigwa mpaka mbumbulukeDuka gani hilo Songea....tukimbilie maana huku kwetu Litapwasi haiuzwi 2,500/=
Hela iliyoongezwa kwenye Sukari ndo iliyonunua pikipiki za CCM. Na nyingine kina Bashe wametunza Kwa ajili ya kampeni.Sukari ipo? Je, ni bei gani mtaani?
PIA SOMA
- LIVE - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina