Kwanini BBC Swahili (Dira ya Dunia) leo hawajaipa Kipaumbele Taarifa ya Uteuzi ya Zuhura Yunus?

Umepigwa na kitu kizito unaleta mipasho,

Nyie ndo jamii ya kina Aristoste [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usivamie usiowajua ndio maana mnaishia kuingiziwa dudu huko nyuma na kuachiwa mimba zisizo na bwana unaleta stress za kumwagiwa shahawa nyuma na mbele na baba mtoto humjui.

Acha shobo chausiku wengine tunakumwagia kwenye kila tundu shauri yako sio unavamia tu mada we deal na mleta mada sio wengine, utapasuka mdhuti.
 
Wanashangaa muingereza kupewa shavu Tz na hakuna mkataba waliopewa na walio mchukua kutoka kwao
 
Wanafanya kiuledi zaidi wanasubiri aanze kaz
 

😁😁😁 we jamaa...
 
Hajapanda cheo bali ameenda sehemu yenye maslahi zaidi kwake, BBC ni shirika la utangazaji la Uingereza la kimataifa ambalo halihusiani kabisa na serikali ya Tanzania.
 
Hiyo farewell party afanyiwe mara Mbili Ndugu? au hujui kuwa tayari Zuhura Yunus yupo hapa Mjini down Town Dar es Salaam kwa Siku kadhaa tu sasa?
Gentaaaa hii ID MPYA huitendei haki
 
Sijasema BBC ya Saa 3 Usiku bali nimehoji kwanini kule BBC Swahili Dira ya Dunia alikozoeleka na Kudumu they didn't break her Story kuwa ameteuliwa na Rais Samia? Muwe mnasoma Hoja kabla ya Kukurupuka Kuchangia hapa JamiiForums sawa?
Sio kila story inapaswa kuwa breaking. Ameacha kazi na kuhamia taassi nyingine ambayo BBC inahusika kumulika utendaji wake, hiyo haiwezi kuwa breaking news.

Haikuwa breaking news pia kwa sababu Zuhura alikuwa ni news anchor/mtangaza habari tu, hawa watu kwenye tasnia ya habari huwa hawaachi legacy kubwa kama interviewers mfano wa Stephen Sackur wa HardTalk.
 
Hufuatilii habari za BBC, jana usiku wamefanya mahojiano nae kwa urefu sana kwenye TV
 
Wani wao ndiyo wamemteua?
BBC wanashughulika na mambo makubwa Duniani na teuzi,
 
Mbona nimeona anahojiwa sana?
Au
 
Mbona ilitangazwa kwa urefu kabisa na alihojiwa akiwa studio
 
Zuhura ana utajiri wa karibu bilion 3,, kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari
 
Toka waanze kuchukua watangazaji wenye asili ya mikoani BBC swahili imekuwa ya kimajungu jungu sana [emoji23],si mda mrefu wataanza kuchawiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…