Usivamie usiowajua ndio maana mnaishia kuingiziwa dudu huko nyuma na kuachiwa mimba zisizo na bwana unaleta stress za kumwagiwa shahawa nyuma na mbele na baba mtoto humjui.Umepigwa na kitu kizito unaleta mipasho,
Nyie ndo jamii ya kina Aristoste [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yamekuwa hayo tena?Hawana shobo za kinafiki kama wewe
Ni jibu la busara kabisaMuda ulikuwa hautoshi huenda jambo hilo watalipa uzito kesho alfajiri
Hujui chochote, ungekaa kimya tu.Zuhura ni Mkurugenzi Ikulu. Hao BBC bado ni wadogo kwa Zuhura so wapost wasipost haibadili kitu
Natamani sana tu nami niwe kama Yeye Kiuwasilishaji na Kiudadavuaji wa Masuala na Mambo hapa JamiiForums, ila sijabarikiwa kama Yeye kwani ni wa Kipekee mno japo anaonekana ni Mtu very Principled, Confident, Einstein but very short Tempered. Kapotea wapi Ndugu?
Hajapanda cheo bali ameenda sehemu yenye maslahi zaidi kwake, BBC ni shirika la utangazaji la Uingereza la kimataifa ambalo halihusiani kabisa na serikali ya Tanzania.Ndio ujue kwamba hicho kiti unachokalia ofisini once you are gone anakalia mwingine na unasahaulika, jiandae hata na miradi ya kuku.
Imagine hapo amepanda cheo ila hawajahangaika nae kwanza wazungu hawanaga shobo Kama sisi weuzi tunajikomba ili akukumbuke hata cheo.
Angalia TBCCM wanavyopapalika utadhani atakuwa anawagaia mshahara wake.
ITV waliposikia Abdallah Mwaipaya amekuwa DC tu yaani walijikomba utadhani amekuwa DC wa ITV. Au enzi Ile Godwin Gondwe.
Mzungu haangaiki nawe walishamuaga wakampa cheti na zawadi ya utumishi Bora na wakamtakia maisha mema anakoenda it's obvious hakutaka kuongeza mkataba alishajua anaelekea wapi.
Gentaaaa hii ID MPYA huitendei hakiHiyo farewell party afanyiwe mara Mbili Ndugu? au hujui kuwa tayari Zuhura Yunus yupo hapa Mjini down Town Dar es Salaam kwa Siku kadhaa tu sasa?
Sio kila story inapaswa kuwa breaking. Ameacha kazi na kuhamia taassi nyingine ambayo BBC inahusika kumulika utendaji wake, hiyo haiwezi kuwa breaking news.Sijasema BBC ya Saa 3 Usiku bali nimehoji kwanini kule BBC Swahili Dira ya Dunia alikozoeleka na Kudumu they didn't break her Story kuwa ameteuliwa na Rais Samia? Muwe mnasoma Hoja kabla ya Kukurupuka Kuchangia hapa JamiiForums sawa?
Nina wasiwasi kama wewe mkuuAsk MI6
Hufuatilii habari za BBC, jana usiku wamefanya mahojiano nae kwa urefu sana kwenye TVJe,
1. Wamewiwa na Wivu juu yake?
2. Walimpenda Kinafiki?
3. Alikuwa hakai vyema na Wenzake?
4. Ni muendelezo wa tabia ya Wana Afrika Mashariki kutopendana?
5. Hawajaamini macho na Masikio yao?
6. Walitaka akitoka London BBC aje Kuuanza Umasikini Dar es Salaam?
7. Wanaonyesha Chuki dhahiri Kwake?
Majibu yenu ni Muhimu sana tu hapa.
Wani wao ndiyo wamemteua?Je,
1. Wamewiwa na Wivu juu yake?
2. Walimpenda Kinafiki?
3. Alikuwa hakai vyema na Wenzake?
4. Ni muendelezo wa tabia ya Wana Afrika Mashariki kutopendana?
5. Hawajaamini macho na Masikio yao?
6. Walitaka akitoka London BBC aje Kuuanza Umasikini Dar es Salaam?
7. Wanaonyesha Chuki dhahiri Kwake?
Majibu yenu ni Muhimu sana tu hapa.
Zuhura ana utajiri wa karibu bilion 3,, kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habariJe,
1. Wamewiwa na Wivu juu yake?
2. Walimpenda Kinafiki?
3. Alikuwa hakai vyema na Wenzake?
4. Ni muendelezo wa tabia ya Wana Afrika Mashariki kutopendana?
5. Hawajaamini macho na Masikio yao?
6. Walitaka akitoka London BBC aje Kuuanza Umasikini Dar es Salaam?
7. Wanaonyesha Chuki dhahiri Kwake?
Majibu yenu ni Muhimu sana tu hapa.
Toka waanze kuchukua watangazaji wenye asili ya mikoani BBC swahili imekuwa ya kimajungu jungu sana [emoji23],si mda mrefu wataanza kuchawianaTaarifa ya Yule Mtoto Bilionea mbona wameweza Kuiweka ( Kuitangaza ) na kuipa airtime wameshindwa nini hata Kuitangaza tu hii ya Uteuzi wa Zuhura Yunus na hata kama siyo Kuidadavua kiundani?
Tokea BBC Swahili iwe dominated na Watangazaji wa Kiswahili kutoka Tanzania imekuwa ni ya Kiswahili Kiswahili hivi kwa aina ya Utangazaji tofauti na miaka ya nyuma.
Bro. Binadamu wa Kitanzania ni wa ajabu sana.Mbona ilitangazwa kwa urefu kabisa na alihojiwa akiwa studio