Kwanini bei ya mfuko wa cement haishuki?

Bei haiwezi kushuka gafla ndugu.kuna gharama nyingi sana hapa katibadi cement inakufikia wewe.suala la bidhaa kama cement kushuka bei kwa pamoja ni sualabla serikali kukaa na wenye viwanda kuzungumza na kuangalia jinsi gani serikalibinaweza kuwasaidia ili kupunguza gharama ili bei ya bidhaa ishuke.hao wenzetu pakistani na ulaya viwanda vikubwa binapewa rruzuku kwenye maeneo mengi kama umeme,marighafi nk.hata wanapouza nje kuna namna serikali zao znawasuport.serikali ikiamua inaweza hayo yote.na itawezekana tu kama wataacha mazoea ya kutegemeabkodi kwenye vyanzo vichache vya kodi.ikapanua wigo wa ukusanyaji kodi na kubuni vyanzo vipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…