Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Joined
Feb 8, 2019
Posts
94
Reaction score
124
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa ili kuvutia wengi.

Mwaka 2003 kuna mbunge alilalamika bungeni juu ya bei kuwa kubwa ya viwanja vilivyopimwa vilivyokuwa vinauzwa na serikali,serikali ilijibu kuwa bei ni kubwa kwasababu ya gharama za upimaji. Hili limeandikwa kwenye gazeti la Daily News la 10/4/2003 ukurasa wa pili.

Miradi mingi sana ya viwanja nchini Tanzania inatangazwa kuwa viwanja vimepimwa lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya miradi ya viwanja inauzwa ilihali viwanja havijapimwa kwasababu kampuni nyingi haziwezi kumudu gharama za upimaji ndiyo maana watu wengi wamenunua viwanja walivyoambiwa vimepimwa lakini mpaka sasa hawana hati miliki au wanasumbuliwa kupata hati miliki. Umenunua kiwanja kilichopimwa je una hati miliki..?

Je unajua kutambua kiwanja ambacho kimepimwa? Je unajua kutambua ramani halali inayotambuliwa na wizara ya ardhi ya kiwanja kilichopimwa..? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa huwezi kupata hati miliki? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa ila umedanganywa kuwa kimepimwa unaweza kuwa umenunua eneo la barabara au shule?

Kabla hujanunua kiwanja kagua vizuri ili usitapeliwe,usibomolewe baadae au kupata migogoro ya ardhi.

Karibu sana LAPEX kwa huduma ya uchunguzi kabla hujanunua kiwanja.

Soma Pia: Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

Imeandikwa na;
Thom Meshack Munkondya.
(Mpima ardhi,Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi kutoka LAPEX).
0744336336.

Cc @lapexproperties
 
nje ya mada kidogo ndugu ikiwezekana muiombe serekali iwape nyie property agents vibali kabisa ili kupunguza maagent matapeli.Mtapiga hatua sana na wateja wataongezeka.Saiv mtu akiwa anatafuta viwanja miluzi ni mingi maana hata hao maagent ambao wameweka mabango karibu kila mahali mpaka kwenye stendi za mabasi wengi wanasemekana ni matapeli na wamewaliza watu wengi hvyo watu wamekuwa wanauwoga sana kuamini maagent. Mkipewa recognition am sure biashara itahamia kwenu🤝
 
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa ili kuvutia wengi.

Mwaka 2003 kuna mbunge alilalamika bungeni juu ya bei kuwa kubwa ya viwanja vilivyopimwa vilivyokuwa vinauzwa na serikali,serikali ilijibu kuwa bei ni kubwa kwasababu ya gharama za upimaji. Hili limeandikwa kwenye gazeti la Daily News la 10/4/2003 ukurasa wa pili.

Miradi mingi sana ya viwanja nchini Tanzania inatangazwa kuwa viwanja vimepimwa lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya miradi ya viwanja inauzwa ilihali viwanja havijapimwa kwasababu kampuni nyingi haziwezi kumudu gharama za upimaji ndiyo maana watu wengi wamenunua viwanja walivyoambiwa vimepimwa lakini mpaka sasa hawana hati miliki au wanasumbuliwa kupata hati miliki. Umenunua kiwanja kilichopimwa je una hati miliki..?

Je unajua kutambua kiwanja ambacho kimepimwa? Je unajua kutambua ramani halali inayotambuliwa na wizara ya ardhi ya kiwanja kilichopimwa..? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa huwezi kupata hati miliki? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa ila umedanganywa kuwa kimepimwa unaweza kuwa umenunua eneo la barabara au shule?

Kabla hujanunua kiwanja kagua vizuri ili usitapeliwe,usibomolewe baadae au kupata migogoro ya ardhi.

Karibu sana LAPEX kwa huduma ya uchunguzi kabla hujanunua kiwanja.

Soma Pia: Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

Imeandikwa na;
Thom Meshack Munkondya.
(Mpima ardhi,Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi kutoka LAPEX).
0744336336.

Cc @lapexproperties
“Huwezi kuuza kiwanja kwa ramani, kiwanja kinauzwa kwa hati, Serikali haiwezi kukaa kimya wakati wananchi wanyonge wanateseka na kutapeliwa fedha zao” Amesema Waziri Silaa.

Aidha, amewataka Makamishna wa Ardhi Wasaidizi wa mikoa yote nchini kuharakisha mchakato wa utoaji wa hati kama zao la upimaji wowote wa ardhi na amewataka wenye makampuni ya ardhi wanaotaka kuuzia viwanja maofisini mwao waombe hati za viwanja wanavyopima.

👆👆👆👆kutoka kwenye huo uzi wenye kichwa cha habari ambapo Slaa alikuwa bado ni waziri.Mleta mada naomba ufafanuzi ww kama mtaalam wa ardhi nikinunua ardhi kwako utanipa hati ndo nikupe hela au namna gani hapo🤔

 
Kwa lugha rahisi kabisa site plan ni ramani inayoonesha kilichopo ardhini au kwenye kiwanja au site kama ni kiwanja basi ukubwa wake,shepu yake,mipaka yake nk kama kuna nguzo au nyumba au mtaro yani kitu chochote ambacho kipo kwenye kiwanja kinaoneshwa kwenye site plan. TP(Town plan layout or drawing) ni choro unaonesha mpangilio wa eneo fulani pamoja na matumizi ya kiwanja. Kwa Kifupi TP ndiyo inayoonesha mtaa au mji utakuwaje baada ya kupimwa na kujengwa pamoja na matumizi ya kila kiwanja.
 
Kwa lugha rahisi kabisa site plan ni ramani inayoonesha kilichopo ardhini au kwenye kiwanja au site kama ni kiwanja basi ukubwa wake,shepu yake,mipaka yake nk kama kuna nguzo au nyumba au mtaro yani kitu chochote ambacho kipo kwenye kiwanja kinaoneshwa kwenye site plan. TP(Town plan layout or drawing) ni choro unaonesha mpangilio wa eneo fulani pamoja na matumizi ya kiwanja. Kwa Kifupi TP ndiyo inayoonesha mtaa au mji utakuwaje baada ya kupimwa na kujengwa pamoja na matumizi ya kila kiwanja
barabara kubwa na ndogo za mitaa standard ni mita ngapi kiongozi???
 
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa ili kuvutia wengi.

Mwaka 2003 kuna mbunge alilalamika bungeni juu ya bei kuwa kubwa ya viwanja vilivyopimwa vilivyokuwa vinauzwa na serikali,serikali ilijibu kuwa bei ni kubwa kwasababu ya gharama za upimaji. Hili limeandikwa kwenye gazeti la Daily News la 10/4/2003 ukurasa wa pili.

Miradi mingi sana ya viwanja nchini Tanzania inatangazwa kuwa viwanja vimepimwa lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya miradi ya viwanja inauzwa ilihali viwanja havijapimwa kwasababu kampuni nyingi haziwezi kumudu gharama za upimaji ndiyo maana watu wengi wamenunua viwanja walivyoambiwa vimepimwa lakini mpaka sasa hawana hati miliki au wanasumbuliwa kupata hati miliki. Umenunua kiwanja kilichopimwa je una hati miliki..?

Je unajua kutambua kiwanja ambacho kimepimwa? Je unajua kutambua ramani halali inayotambuliwa na wizara ya ardhi ya kiwanja kilichopimwa..? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa huwezi kupata hati miliki? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa ila umedanganywa kuwa kimepimwa unaweza kuwa umenunua eneo la barabara au shule?

Kabla hujanunua kiwanja kagua vizuri ili usitapeliwe,usibomolewe baadae au kupata migogoro ya ardhi.

Karibu sana LAPEX kwa huduma ya uchunguzi kabla hujanunua kiwanja.

Soma Pia: Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

Imeandikwa na;
Thom Meshack Munkondya.
(Mpima ardhi,Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi kutoka LAPEX).
0744336336.

Cc @lapexproperties
 
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa ili kuvutia wengi.

Mwaka 2003 kuna mbunge alilalamika bungeni juu ya bei kuwa kubwa ya viwanja vilivyopimwa vilivyokuwa vinauzwa na serikali,serikali ilijibu kuwa bei ni kubwa kwasababu ya gharama za upimaji. Hili limeandikwa kwenye gazeti la Daily News la 10/4/2003 ukurasa wa pili.

Miradi mingi sana ya viwanja nchini Tanzania inatangazwa kuwa viwanja vimepimwa lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya miradi ya viwanja inauzwa ilihali viwanja havijapimwa kwasababu kampuni nyingi haziwezi kumudu gharama za upimaji ndiyo maana watu wengi wamenunua viwanja walivyoambiwa vimepimwa lakini mpaka sasa hawana hati miliki au wanasumbuliwa kupata hati miliki. Umenunua kiwanja kilichopimwa je una hati miliki..?

Je unajua kutambua kiwanja ambacho kimepimwa? Je unajua kutambua ramani halali inayotambuliwa na wizara ya ardhi ya kiwanja kilichopimwa..? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa huwezi kupata hati miliki? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa ila umedanganywa kuwa kimepimwa unaweza kuwa umenunua eneo la barabara au shule?

Kabla hujanunua kiwanja kagua vizuri ili usitapeliwe,usibomolewe baadae au kupata migogoro ya ardhi.

Karibu sana LAPEX kwa huduma ya uchunguzi kabla hujanunua kiwanja.

Soma Pia: Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

Imeandikwa na;
Thom Meshack Munkondya.
(Mpima ardhi,Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi kutoka LAPEX).
0744336336.

Cc @lapexproperties
na bado ukinunua kiwanja kilichopimwa na kina hati ya jina lingne bado kubadilisha hati ni mlolongo, mara kodi ya TRA mara sijui garama za kubadili hati bora ununua squata ila cha muhimu nenda halmashauri husika jihakikishie kama ni makazi uanze kupima mwenyewe
 
na bado ukinunua kiwanja kilichopimwa na kina hati ya jina lingne bado kubadilisha hati ni mlolongo, mara kodi ya TRA mara sijui garama za kubadili hati bora ununua squata ili ujihakikoshie almashauri husika kama ni makazi uanze kupima mwenyewe
Lakini kwa ninavyoelewa kwa kodi ya TRA ni burden ya muuzaji kwa maana ya transferor.
 
Lakini kwa ninavyoelewa kwa kodi ya TRA ni burden ya muuzaji kwa maana ya transferor.
mtu kaishachukua hela kakuachia hati unafikiri atalipa, ni sawa na rental tax anatakiwa alipe aliekupangisha chumba cha biashara ila wafanya biashara wengi wanalipa wenyewe Kama hutaki anakutimua kwenye nyumba yake
 
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa ili kuvutia wengi.

Mwaka 2003 kuna mbunge alilalamika bungeni juu ya bei kuwa kubwa ya viwanja vilivyopimwa vilivyokuwa vinauzwa na serikali,serikali ilijibu kuwa bei ni kubwa kwasababu ya gharama za upimaji. Hili limeandikwa kwenye gazeti la Daily News la 10/4/2003 ukurasa wa pili.

Miradi mingi sana ya viwanja nchini Tanzania inatangazwa kuwa viwanja vimepimwa lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya miradi ya viwanja inauzwa ilihali viwanja havijapimwa kwasababu kampuni nyingi haziwezi kumudu gharama za upimaji ndiyo maana watu wengi wamenunua viwanja walivyoambiwa vimepimwa lakini mpaka sasa hawana hati miliki au wanasumbuliwa kupata hati miliki. Umenunua kiwanja kilichopimwa je una hati miliki..?

Je unajua kutambua kiwanja ambacho kimepimwa? Je unajua kutambua ramani halali inayotambuliwa na wizara ya ardhi ya kiwanja kilichopimwa..? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa huwezi kupata hati miliki? Je unajua ukinunua kiwanja ambacho hakijapimwa ila umedanganywa kuwa kimepimwa unaweza kuwa umenunua eneo la barabara au shule?

Kabla hujanunua kiwanja kagua vizuri ili usitapeliwe,usibomolewe baadae au kupata migogoro ya ardhi.

Karibu sana LAPEX kwa huduma ya uchunguzi kabla hujanunua kiwanja.

Soma Pia: Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

Imeandikwa na;
Thom Meshack Munkondya.
(Mpima ardhi,Mtaalamu na mshauri wa masuala ya ardhi kutoka LAPEX).
0744336336.

Cc @lapexproperties
Mna miradi ya viwanja vilivyopimwa kwa Dar? If YES wapi? Au mmejikita kwenye uchunguzi pekee?
 
mtu kaishachukua hela kakuachia hati unafikiri atalipa, ni sawa na rental tax anatakiwa alipe aliekupangisha chumba cha biashara ila wafanya biashara wengi wanalipa wenyewe Kama hutaki anakutimua kwenye nyumba yake
Sheria hairuhusu kupokea hati bila kumaliza kila kitu kama malipo hayo n.k tunapuuzia tu na kibaya huko kwenye ardhi, nyumba, shares na vingine watu wanauziana kienyeji sana.
 
Ebana!Kwa asilimia kubwa hvi viwanja vyetu vya uswahilini havijazingatia hyo wala havizingatii.kiufup Kwa jamb hli bac watu weng wanawez kosa makaz
 
Kwa lugha rahisi kabisa site plan ni ramani inayoonesha kilichopo ardhini au kwenye kiwanja au site kama ni kiwanja basi ukubwa wake,shepu yake,mipaka yake nk kama kuna nguzo au nyumba au mtaro yani kitu chochote ambacho kipo kwenye kiwanja kinaoneshwa kwenye site plan. TP(Town plan layout or drawing) ni choro unaonesha mpangilio wa eneo fulani pamoja na matumizi ya kiwanja. Kwa Kifupi TP ndiyo inayoonesha mtaa au mji utakuwaje baada ya kupimwa na kujengwa pamoja na matumizi ya kila kiwanja.
ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom