EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Habari za mihangaiko wakuu,
Kwanini benki za Tanzania hazina ATM machine za kuweka fedha?
Kwanini benki za Tanzania hazina ATM machine za kuweka fedha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi wetu bado upo chini sanw.Habari za mihangaiko wakuu,
Kwanini Tanzania hakuna ATM machine za kuweka fedha?
Tanzania umetembea mpaka wapi? CRDB pale Kijitonyama zilikuwepo toka 2013. Sasa hai hao CRDB wanekuletea mpaka ya kubadilishia pesa za kigen nadhan ipo moja USA River branch. Kama huko kweli Nangurukuru hamna usi-generalize nchi nzima. By the way ATM ya nn na unaweza kufanya transaction kwa simu kupitia wakala tu?Habari za mihangaiko wakuu,
Kwanini Tanzania hakuna ATM machine za kuweka fedha?
Kumbe zipo aise mimi kwa mara ya kwanza nimeziona U.K, nikabaki nazishangaa tu.Zipo sema tu wewe kama mimi hatuamini kama zitafika tunapokusudia
Kweli hilo nilikua silijui kwa Tanzania kiukweli basi zitakuwepo baadhi ya mikoa.Ungeuliza sio Unakuja kutapika Uongo
Absa wanazo kesho uende uwaulize walinzi pale
YeahYaani unaweka fedha kwenye Akaunti yako kupitia ATM?
NBC na CRDB ndo nilikuwa sijui, na kama zipo ni chache sana, niza kuhesabika. Ila ABSA na FNB zipo nyingi tu
Sikujua kuwa Ukerewe kumeendelea hivyo!Kumbe zipo aise mimi kwa mara ya kwanza nimeziona U.K, nikabaki nazishangaa tu.