Kwanini biashara haramu zinalipa zaidi?

Kwanini biashara haramu zinalipa zaidi?

k29

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
730
Reaction score
1,211
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k

Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana.

Naombeni wenye ujuzi wa haya mambo kwanini hizi biashara zina faida sana.

sent using samsung galaxy s8
 
Back
Top Bottom