maufoungph
Member
- Oct 16, 2018
- 73
- 164
Kwanini biashara zinakufa moja ya sababu kukuu ni ukosefu wa elimu ya biashara,kama kampuni ipo chini ya sheria na ina strong managemnt basi haitaki nguvu kubwa kuendesha biashara hiyo maana amekufa mtu na sio kampuni.
Ila kuna sababu ndogo ndgo znapelekea kufa kwa biashara ni pale ndugu wanapoitaji mirathi wanakuwa tayari kuthaminsha mali za kampuni na hata pesa yakuendeshea biashara iyo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna sababu ndogo ndgo znapelekea kufa kwa biashara ni pale ndugu wanapoitaji mirathi wanakuwa tayari kuthaminsha mali za kampuni na hata pesa yakuendeshea biashara iyo..
Sent using Jamii Forums mobile app