Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,340
Habari zenu wanajamvi wenzangu???
Mimi ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii hasa facebook na jamiiforums.
Hivi karibuni nimejikuta kwenye mshangao mkubwa sana kila nikiperuzi kwenye mtandao wa facebook nakutana na post za watu kutoka DAR ES SALAAM waanauza vitu vya ndani vitanda, gas, tv na vitu vingine vya ndani, kwa kisingizio kwamba wana hama mkoa.
Nimekuwa niikijiuliza maswali mengi sana kwanini watu hawa wanauza na kuondoka huko na post zimekuwa nyingi sana za kuuza vitu vya ndani.
Naomba mliopo huko mnijibu maswali haya
. Je ni kwamba watu hawa wamepata kazi nje ya dar ndo maana wanauza vitu vyao?
Kama ni hivyo mbona hamna wanaouza kutoka mikoani??
Je maisha yamekuwa magumu ndo maana wanarudi makwao??
Au kuna sababu zingine??
Nawasilisha kwenu wadau
Mimi ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii hasa facebook na jamiiforums.
Hivi karibuni nimejikuta kwenye mshangao mkubwa sana kila nikiperuzi kwenye mtandao wa facebook nakutana na post za watu kutoka DAR ES SALAAM waanauza vitu vya ndani vitanda, gas, tv na vitu vingine vya ndani, kwa kisingizio kwamba wana hama mkoa.
Nimekuwa niikijiuliza maswali mengi sana kwanini watu hawa wanauza na kuondoka huko na post zimekuwa nyingi sana za kuuza vitu vya ndani.
Naomba mliopo huko mnijibu maswali haya
. Je ni kwamba watu hawa wamepata kazi nje ya dar ndo maana wanauza vitu vyao?
Kama ni hivyo mbona hamna wanaouza kutoka mikoani??
Je maisha yamekuwa magumu ndo maana wanarudi makwao??
Au kuna sababu zingine??
Nawasilisha kwenu wadau