Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Kingwendu naye alikua na benki? daahKingwendu na Benki yake ishakufa hata hatuna uhakika kama ana jengo hata moja.
Benk of Kingwendu. (BOK)Kingwendu naye alikua na benki? daah
Hivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu?
1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma
2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea,
3.Chibu pafyumu &Diamond Karanga hazipo tena,
3.Jokate na bidhaa zake jiii,
4.Mofaya hii ndio ilishafeli kabla hata ya kuingia sokoni,
5.Body spray ya Mwana FA zilianza kwa mbwembwe sasa hivi zinakufa kibudu,
5.pafyumu ya Manara imbakia kwenye picha tu...
6.Vee Money na viatu vyake vya watoto havijulikani hata vilipo
7...........
8...........
9...........
10.........
De la boss...hahahaaaNimecheka sana hapo kwa manara[emoji1787][emoji1787][emoji38]
Benki tena duuu,Kingwendu na Benki yake ishakufa hata hatuna uhakika kama ana jengo hata moja.
Nadhani kikubwa ni poor management na wengi hawana maono ya mbali wanaanza biashara kwa kudhani umaarufu wao utawasaidia biashara kusimama siku zote pasipo kupambana na soko...
Diamond karanga zipo,Hivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu?
1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma
2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea,
3.Chibu pafyumu &Diamond Karanga hazipo tena,
3.Jokate na bidhaa zake jiii,
4.Mofaya hii ndio ilishafeli kabla hata ya kuingia sokoni,
5.Body spray ya Mwana FA zilianza kwa mbwembwe sasa hivi zinakufa kibudu,
5.pafyumu ya Manara imbakia kwenye picha tu...
6.Vee Money na viatu vyake vya watoto havijulikani hata vilipo
7...........
8...........
9...........
10.........
Hapo ndipo wanapofail,wanafikiri majina yao ndio yatabeba bidhaa zao sokoni,waajiri watu pro wauze bidhaa zao.Wana amini wakisha tumia instagram na media ndio biashara inatembea na unaaanza kula faida..watembee field kujionea , sa unakuta msanii yeye huyo huyo anataka awe director ,market man anger,mtu wa finance
Mkuu umemaliza kila kitu, hawa wasanii hawaoneshi ile product line. Wao wanaishia kwenye uuzaji tu. Nadhani wanatumia majina yao tu, production line haiwahusu. Wao wako kwenye label na brandy name tu.Zinakufa kwa sababu kiwanda hakionekani;tunaona bidhaa tu.