Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Hivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu?
1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma
2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea,
3.Chibu pafyumu &Diamond Karanga hazipo tena,
3.Jokate na bidhaa zake jiii,
4.Mofaya hii ndio ilishafeli kabla hata ya kuingia sokoni,
5.Body spray ya Mwana FA zilianza kwa mbwembwe sasa hivi zinakufa kibudu,
5.pafyumu ya Manara imbakia kwenye picha tu...
6.Vee Money na viatu vyake vya watoto havijulikani hata vilipo
7...........
8...........
9...........
10.........
1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma
2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea,
3.Chibu pafyumu &Diamond Karanga hazipo tena,
3.Jokate na bidhaa zake jiii,
4.Mofaya hii ndio ilishafeli kabla hata ya kuingia sokoni,
5.Body spray ya Mwana FA zilianza kwa mbwembwe sasa hivi zinakufa kibudu,
5.pafyumu ya Manara imbakia kwenye picha tu...
6.Vee Money na viatu vyake vya watoto havijulikani hata vilipo
7...........
8...........
9...........
10.........