Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hii ndo point ya msingi. Moreover, bongo hatuna utamaduni wakununua bidhaa sababu tu ni ya msanii, tunanunua tokana na Bei na upatikanaji wake tofauti na mbele ambako mtu unaweza agiza online bidhaa ya his/her fav celeb
Aidha wengi wanaingia kwenye masoko bila ya kuyasoma, utamuuzia nani perfume laki1 bongo.
Aidha wengi wanaingia kwenye masoko bila ya kuyasoma, utamuuzia nani perfume laki1 bongo.
Lack of middle class inafanya biashara nyingi bongo zistruggle sio wasanii pekee yao