Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kabla ya kuleta utopolo nijibu swali hili,,, aim ya nature kufanya organism wa evolve kutoka kutoa gelatinous eggs(fish and amphibians) to calcium shell(aves and reptiles) to storing eggs kwa placenta(mamals) ,, na kutoka kufanya external fertilisation to internal fertilisation ilikuwa ni nini?
Cha kwanza nature haina aim yoyote. Mutation are random but natural selection is systematic. So huweza sema nature imeamua jambo. Viumbe wa kutaga mayai walitokea kipindi cha pangea. The environment was hot and dry so viumbe wengine at the time walikua wanataga kama chura. Hao reptile ndio viumbe wachache walioevolve kutaga mayai yenye kasha gumu so waliweza populate pangea maana waliweza taga popote.

Hapo nimekuonyesha tuu nature/evolution has no plan or goal
 
Cha kwanza nature haina aim yoyote. Mutation are random but natural selection is systematic. So huweza sema nature imeamua jambo. Viumbe wa kutaga mayai walitokea kipindi cha pangea. The environment was hot and dry so viumbe wengine at the time walikua wanataga kama chura. Hao reptile ndio viumbe wachache walioevolve kutaga mayai yenye kasha gumu so waliweza populate pangea maana waliweza taga popote.

Hapo nimekuonyesha tuu nature/evolution has no plan or goal
A. Unachosema ni kile kile alichosema lamark
1. Evolutionary change ni capacity of an organism to react to a special conditions in his environment
2. Evolution is a result of blind primal forces

B. Nakupa homework kama mwenzio kasome directional natural selection then uje ufute kauli yako ya kuwa nature haiamui jambo[emoji23][emoji23]

C. Umechanganya madesa kati ya mutation na natural selection
Moja kati ya hyo ni force that maintain genetic variation ingine ni force that introduce genetic variation,,, hyo homework ya pili

D. Pangea ndo kipindi gani kwenye geological time scale [emoji23][emoji23] iko kwenye era gani kati ya paleozoic, mesozoic au cenozoic

E. Kasome forces of evolution vizuri and micro and macro evolution ukimaliza uje ufute ulichoandika,,,

Na wewe mwalimu wako anaitwa nani [emoji848][emoji848]
 
Unafahamu kuwa placenta ni vascular organ?
Kuwa vascular organ doesn't mean ni part ya vascular system any organ that needs constant supply of blood to be useful ni vascular organ,,, na zina evolve tofauti na vascular system ukiachana na moyo tu
 
Ona umeshamleta Mungu kwenye mambo ya kisayansi kama haya... Hapo hujatoa jibu lolote zaidi ya kusifia kitu kisichokuwepo
Walau ungetumia sayansi kuangalia hekma ya wanaadamu kuumbwa wanazaa badala ya kutaga ili kupata mazingatio ningekuona unaakili.

Lakini unaitumia sayansi kukosoa uumbaji! huo ni ujinga ulioje?

Ilhali aliyewafanya wanaadamu wanazaa ndiye huyohuyo aliye wafanya ndege wanataga.

Sasa wewe unasema angefanya hivi na sio vile kama nani?
 
Huu uzi watu wanaogopa kujifunza vitu. Tatizo ni lile lile hatuna radical thinkers. Ndio maana Afrika hatuendelei. Mtoa mada umeleta mada nzuri ya kuchangamsha Bongo ila wabongo wenyewe wapo busy na msimamo wa maamuzi ya Mungu [emoji23][emoji23]
Mleta mada ameleta mada kwa style ya kukosoa, yaani anaona kutaga ni bora kuliko kuzaa(anakosoa)

Ila angekuwa na akili angejiuliza kwa nini wanaadamu tunazaa na hatutagi, ila apate mazingatio.

Maana bila shaka Mwenyezimungu aliyafanya haya kwa elimu na hekma.

Na haiwezekani wewe uliyepewa akili, uwe na elimu zaidi kuliko yule aliyekupa hiyo akili.
 
A. Unachosema ni kile kile alichosema lamark
1. Evolutionary change ni capacity of an organism to react to a special conditions in his environment
2. Evolution is a result of blind primal forces

B. Nakupa homework kama mwenzio kasome directional natural selection then uje ufute kauli yako ya kuwa nature haiamui jambo[emoji23][emoji23]

C. Umechanganya madesa kati ya mutation na natural selection
Moja kati ya hyo ni force that maintain genetic variation ingine ni force that introduce genetic variation,,, hyo homework ya pili

D. Pangea ndo kipindi gani kwenye geological time scale [emoji23][emoji23] iko kwenye era gani kati ya paleozoic, mesozoic au cenozoic

E. Kasome forces of evolution vizuri and micro and macro evolution ukimaliza uje ufute ulichoandika,,,

Na wewe mwalimu wako anaitwa nani [emoji848][emoji848]
Labda kwanza wewe uliyesema ndege hawakutokanq na dinosours ungetuambia mwalimu aliyekufundisha hivyo.
 
Mleta mada ameleta mada kwa style ya kukosoa, yaani anaona kutaga ni bora kuliko kuzaa(anakosoa)

Ila angekuwa na akili angejiuliza kwa nini wanaadamu tunazaa na hatutagi, ila apate mazingatio.

Maana bila shaka Mwenyezimungu aliyafanya haya kwa elimu na hekma.

Na haiwezekani wewe uliyepewa akili, uwe na elimu zaidi kuliko yule aliyekupa hiyo akili.
Mada hii ni swali.
 
Labda kwanza wewe uliyesema ndege hawakutokanq na dinosours ungetuambia mwalimu aliyekufundisha hivyo.
Archaepteryx sio dinosaur,, na ni only link kati ya reptile wakiwemo hao dinosaurs na aves,,, archaepteryx ni transition animals kama walivyokuwa crossoptyregian
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa!

Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Binadamu alijikuta tu mwanamke anazaa Wala sio Kwa matakwa yake,hata hao ndege na jamii ya kenge wote hawatagi Kwa kupendezwa kwao.
Watu wajinga hukataa Matakwa ya mola wao aliyewaumba akawafanya wawe hivyo.
Sio hilo tu jiulize kwanini binadamu tuna akili na viumbe wengine ambao sio binadamu hawana?
 
Mkuu jaribu kuwa na hofu kidogo na aliyekuumba (Mungu - Kwa sisi tunaoamini uwepo wake na kwamba ndiye aliyetuumba) aliona faida ya wewe

Utamwambiaje mwenzio amuogope Mungu "kwa sisi tunaoamini uwepo wa muumba" wakati hujui kama na yeye anaamini uwepo wa muumba ?????

Ukisema "kwa sisi tunaoamini" inaonyesha UNAJUA kuna watu hawaamini. For which nakupa sifa nyingi sana.

Find out first kama mwenzio nae anaamini halafu ndio umkumbushe kumuogopa huyo muumba wenu.
 
Mungu hana ID humu. Unajaza server bure!
Hivi hao mods wa jf ninaosikia wako makin hebu wajarib kuzipotezea threads kadhaa kuirudishia heshma jf. Nakubaliana na mawazo huru lakin mengine yaishie kijiwen tu kiroho safi
 
Mungu hana ID humu. Unajaza server bure!
Hivi hao mods wa jf ninaosikia wako makin hebu wajarib kuzipotezea threads kadhaa kuirudishia heshma jf. Nakubaliana na mawazo huru lakin mengine yaishie kijiwen tu kiroho safi
Mungu amekujaje tena?
 
Back
Top Bottom