Ipo hivi Mungu uwachukua watu wema mapema Ili wasijepotea au kuurithi uovu yaani wasijebadilika na uwaacha waovu waishi mda mrefu lengo ni kuendelea kuwapa mda uenda kuna siku watatubu na kuwa wema.
Thus wapo waliokuwa waovu leo wametubu wanamtumikia Mungu.
Mfano kuna mtu alikuwa ni mkuu wa wachawi tanzania nzima ameuwa wengi leo kaacha uovu anamuhubiri Kristo
Thus wapo waliokuwa waovu leo wametubu wanamtumikia Mungu.
Mfano kuna mtu alikuwa ni mkuu wa wachawi tanzania nzima ameuwa wengi leo kaacha uovu anamuhubiri Kristo